Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Wewe ndio hayakuhusu tena fyata bakuli lako.Hayakuhusu
Kwani wewe ndo mtoa mada au unawashwa?
Au unatafuta pa kufia asubuhi hii
Mscheeewwwww...!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio hayakuhusu tena fyata bakuli lako.Hayakuhusu
Asa show hakupiga.Labda walikubaliana nauli atampa kwenye ile atampa baada ya show
Dah basi wanawakosea sana aisee.Nani akulipe?
Ndo hapo tu.Ila naona labda ile mikorogo ya mtaani wanayoweka mpaka jik ndo inakua na harufu. Najiulizaga pia chumbani wanakaaje na waume wao maana kajasho Kao kana harufu
Ungemfanyia hisani tuShida ni kuwa niliyemuimagine kichwani si yeye niliyemuona,hata hapo nilifanya uungwana tu!
HahahahBongo bajati mbaya,sema bongo kuna mizigo hatariiii!kwahilo ala katukumbuka
Hiyo avatar yako vipi, tunatishanasIKU HIZI NISHASHTUKA nikiwapgia simu nawapigia Video call,camera za mbele za simu hua zina pixel ndogo so ukipga video call Unampata mzima mzima tena pga ile mchana mmechatiiiiii alaf akakwambia niko njian natoka mahali flan Pga pale pale akiwa huko njian au ukiweza piga ile asubuhi ileee Yani akikwambia tu DEAR KARIBU CHAI itikia kwa video call...nshawabamba wemngi sana wakinywea chai kwenye mabakuli na vkombe vya plastic.
Ila sio vizuri.Hahahahaaaaaaa,sawa bhana!Ila kuna wengine wakishakuzoom,hata maji hupati!Utashangaa simu haipatikani ghafla,unabaki kushangaashangaa!
tuvumiliane tu kwakweli hamna namna Avatar za kimwendokasiHiyo avatar yako vipi, tunatishana
Umeona sasa.Hapana bhana!Mi nasema tu,mi napenda zigo dogo dogo!Mikunjo yote mnaenda,sio mibonge,inachoweza ni kuinamisha tu!
NakojoaaaaShida sio chura,chura alikuwa nayo!Shida sura iliyogoma mkorogo!