Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,203
- 7,628
tukipanga appointment saa saba mchana bhas mimi niko location tangu saa 4 kamili na macho yangu yanakua yanafanya kazi ipasavyo na ntakaa Angle ambayo iwe iwavyo mi ndo ntaanza kukuona..bwana nikute ni lipapai N hapo hapo natia Block najilaumu nauli yangu tu..maana inaniumaga kweli kupoteza nauli na muda mwsho unakutana na mtu ka idd amin Inauma acha kbsa