Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Mkorogo unakuaga na kahurufu Fulani halafu kanakuaga mpaka kwenye NGUO zao
Kuna dada wa kazi mmoja alikuwa anapaka mkorogo.
ukiingia chumbani kwake, harufu ya K tu.
Dah!!!
Hv wanawake wa hivo wanatiwaje na waume zao usiku?
Au wanaoga na kujisugua mpaka ule utelezi wa cream uishe?
 
Ahhahahahaha watu wanajiedit wanakuwa wengine,mme wangu anapenda kuniona nilivyo kiuhalisia hata nikijipodoa isiwe too much

Ila kuna watu hawajikubali kabisa hata kama sura mbaya jiamini tu
Kujiamini sio rahisi. Ukute ushajijua Una sura ya babako weeee
 
Nauli unajiongeza tu kidume. Ulitakiwa uone huruma katoka alipotoka kuja kukuona tena kina sie wapanda BajaJ na maisha ya kuunga unga hapo kapoteza hela yake ya matumizi ujue
Hakufanya fair nimemwabia.
Mie ndo mana nikipewa ahadi, namwambia tu kuwa nauli ya kurudi utanipa...sina pesa mimi.
Wanaume samtaim hawajiongezagi
 
Yaani ni hasira sana.
Ila police wa kule wako makini ktk uchunguzi.
Kesi ina miaka 30 ila wanayo tu.

Ukitaka kufaidi kesi hizi ni Alhamisi maana ni siku za "Detective night"
Yes, paranormal activities na Ghost stories....afu wanavikiwekaga saa 5 usiku.
Nakomaa kucheki huku nimebana macho.
Siangalii usiku mimi,sometimes unakuta nasikia sauti kumbe hata hakuna chochote!
 
Wapo tu ila sema hawajapatikana,kuna siku mabaki yao yatapatikana tu!
Ulibahatika kuona ile episode ya "the perfect murder" ambapo watu wawili walikuwa wrongly convicted for over 17 year kwa kosa la kubaka na kumuua binti?It was so shocking,kipindi uhalifu unatendeka hakukuwa na DNA!
Yeah.
ila baada ya DNA kuchukua hatamu akaja kubainika mwingine.
Ila inauma sana.
 
Kuna dada wa kazi mmoja alikuwa anapaka mkorogo.
ukiingia chumbani kwake, harufu ya K tu.
Dah!!!
Hv wanawake wa hivo wanatiwaje na waume zao usiku?
Au wanaoga na kujisugua mpaka ule utelezi wa cream uishe?
Hivi kwani k zote zina harufu sawa?
 
Hivi kwani k zote zina harufu sawa?
Hazina harufu sawa.
K ya mkorogo inanuka kama shombo la samaki.
Na K orijino inanukia utamu.
Ila we jamaa mbishi sana.

Unamuachaje demu mswaki?
Hata nauli humpi?
Nakuogopa.
 
Yeah.
ila baada ya DNA kuchukua hatamu akaja kubainika mwingine.
Ila inauma sana.
Walilipwa mkwanja mrefu sana,ila mmoja mentally hakuwa sawa baada ya kipigo cha gerezani!Kila mmoja alilamba kama dola 650,00+!
Halafu muhusika alikuwa ashahukumiwa maisha kwa kesi nyingine inayofanana na hiyo,akaokoka akiwa gerezano na kukiri kuwa yeye ndiye muhusika!Kupimwa DNA,perfect match!!!!!
 
Kujiamini sio rahisi. Ukute ushajijua Una sura ya babako weeee
Afu usisahau wale wanaume wanaoomba kidate na mwana jf kumbe kazi yake kwenda kukuuliza flani na flani wanafananaje!!
Wana miili kama majeneza au wana matumbo kama mifuko ya mbolea...

Wanaume wa humu Jf mkome huo mchezo
 
Hayakuhusu
Acheni roho mbaya na husda.
Sasa mnataka sie wenye sura za baba tupendwe na akina nani?

Kwani wewe unataka sura au mnato?
Acheni ulimbukeni na ushamba.

Na bado, mtatujua mpaka akina Rihanna tunaoongea kiswahili sanifu na kihaya.
Shubaamit!!!!
 
Hazina harufu sawa.
K ya mkorogo inanuka kama shombo la samaki.
Na K orijino inanukia utamu.
Ila we jamaa mbishi sana.

Unamuachaje demu mswaki?
Hata nauli humpi?
Nakuogopa.
Mmhhhh hapo kazi ipo,kwahiyo Vera Sidika k lina shombo balaa!
 
Walilipwa mkwanja mrefu sana,ila mmoja mentally hakuwa sawa baada ya kipigo cha gerezani!Kila mmoja alilamba kama dola 650,00+!
Halafu muhusika alikuwa ashahukumiwa maisha kwa kesi nyingine inayofanana na hiyo,akaokoka akiwa gerezano na kukiri kuwa yeye ndiye muhusika!Kupimwa DNA,perfect match!!!!!
Dah inauma sana.
Miaka 17 mambo kibao yashakupita.

Hivi kwetu ukihukumiwa kimakosa wanakulipa?
 
Kuna dada wa kazi mmoja alikuwa anapaka mkorogo.
ukiingia chumbani kwake, harufu ya K tu.
Dah!!!
Hv wanawake wa hivo wanatiwaje na waume zao usiku?
Au wanaoga na kujisugua mpaka ule utelezi wa cream uishe?
Ila naona labda ile mikorogo ya mtaani wanayoweka mpaka jik ndo inakua na harufu. Najiulizaga pia chumbani wanakaaje na waume wao maana kajasho Kao kana harufu
 
Hakufanya fair nimemwabia.
Mie ndo mana nikipewa ahadi, namwambia tu kuwa nauli ya kurudi utanipa...sina pesa mimi.
Wanaume samtaim hawajiongezagi
Labda walikubaliana nauli atampa kwenye ile atampa baada ya show
 
Back
Top Bottom