Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Afu asikudanganye mtu kuwa kipimo cha uwerevu na hekima ni kuanzisha thread jukwaa la siasa.
Jukwaa la siasa kuna vilaza na viazi.
Wengi mnajificha kule ili muonekane mna hekima na busara.
Kumbe hamjui kule ni kama kichaka, kuna majoka na kenge, wadudu na wanyama.
Jukwaa lenye vilaza JF ni la siasa kule kuna wavuta bangi hawatumii akili kabisa aisee
 
Bora hata wewe mstaarabu umetoa 10
Mtoa mada kamuacha kama alivyomkuta
Kwani kukutana lazima apate hela yeye Hana ? Au hapo amefikaje? Acheni kutuonea asee kuwa kila tukikutana lazma upewe posho kwenye hicho kikao
 
Hamna mwanamke bonge wala mwembamba inategemea kila mtu na size yake..kama unajiona chembamba Tafuta chembamba mwenzio,kama unajiona bonge basi unachuku bonge mwenzako its a matter of preference kila mtu na kile kimpendezacho.
Kupondea bonge au kupondea mwembamba jua huyo si chaguo lako Mwenye mali yake akija anamkubali hvyo hvyo na uwembamba wake au ubonge wake..Tuache kimbilia vya wakubwa sazingine.
Nyie mbona hamueleweki?
Mara mabonge hamuwataki na hata wanaume wengine hawawataki.
Mara sijui kila mtu na chaguo lake.
Hebu semeni neno moja mueleweke....tujijue sie mabonge tuko wapi....duniani au akhera
 
Ndio la MMu na mada hii ndo sahihi.
Ila nina maana ukitaka wanawake warembo, kapige ruti kambi za mamiss huko.
Halafu sijasema natafuta wanawake warembo,ni kwamba hili ni tukio ambalo limetokea tu nikakuta ndivyo sivyo!Isionekana its my mission kutafuta wanawake wazuri,hell no!U got it all wrong!
 
Njema sana. Tumepotezana sana. Maandalizi ya JF Party yanaendeleaje?
Maandalizi poa tu.
Sasa hivi niko Gym najifua nitoe hili tumbo nisije anzishiwa thread na waja humu
 
Hapa nilipo nimeudhika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura!

Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha zake,daaah nikasema mashalaaa!Aliporespond,tukabadilishana mawasiliano na tukaanza kuongea!

Bahati nzuri wote tuko kwa jiji,basi tukapanga leo tukutane Catalunya pale opposite na Mlimani city!

Lahaula,yaani mpaka anafika sijamjua kama ni yeye!Mpaka aliposhika simu na kupiga,simu yangu ilipoita ndio nikajivunga kumpungia mkono!

Nilikaa tu kuzuga kama dk 15 then nikazuga kupokea simu ya dharura!Nimemuahidi narudi ila ndio mazimaaaa!!!!

Wadada punguzeni filters!

Eti huyu ni Linah,jaman!!!

khy hukumla
 
Maandalizi poa tu.
Sasa hivi niko Gym najifua nitoe hili tumbo nisije anzishiwa thread na waja humu
😀😀😀 haya, kila la kheri. Nitachanga, ila kwa sababu za kikazi sitakuwepo kwenye party!
 
Sina kiu kivile,raha ya tunda ulitongoze,ulisogeze mdogo mdogo mpaka unaenda kulibanjua!Hii ya sh ngapi mzigo,hapana!
Si ndo ulikuwa unaanza.
Ina maana angekuwa amekuvutia, usingekuja kulalama hapa
 
Jukwaa lenye vilaza JF ni la siasa kule kuna wavuta bangi hawatumii akili kabisa aisee
Yaani jukwaa la hovyo siku zote.
Afu wanajiita wana busara.

Wangekuwa na busara wangekuja kuanika mwisho wao wa kufikiri hapa?
Unajisifu kabisa eti nenda kaone mada nilizoanzisha Jukwaa la siasa.
Mie nilijua jukwaa la dini
 
Back
Top Bottom