Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Mie nakuuliza kabla sijatoka home...utanipa nauli.Kwani kukutana lazima apate hela yeye Hana ? Au hapo amefikaje? Acheni kutuonea asee kuwa kila tukikutana lazma upewe posho kwenye hicho kikao
Kama hutaki kunipa nakaa kwetu.
Kwanilazima?