Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Yes,i always do that!Lecture yangu ya kwanza,nakumbuka dr Othman aliweka maji kwenye glass,ikajaa!Kisha akamwaga maji nusu chini,kisha akaweka swali!Nalo lilikuwa hivi÷
Is the glass:
1.Half filled
2.Half empty
Usiwe pessimistic,sijui hata ambacho hujaelewa ni nini!Kwahiyo kama kuna wakati alikuwa hana make up,mimi ningejuaje?Mtu tunachat insta,sasa hapo akiwa hana make up au anayo mi najuaje?Daaah
Kwahiyo unasema ulichat nae muda tu ila hukujua yupoje.
Na wakati unakutana nae Dm hukujua kama ile ni filter?
Mbona filter inaonekana hata kwa muoni hafifu?
Mbona Linnah umemjua, iweje huyo Mwajuma Ndalandefu hukumjua?
Acheni ubabaishaji...
Kuna maisha nje ya Jf.
Sio kila kitu mpaka maisha yako nje ya keybord unayaanika humu.

Kukua sio mwili tu, na akili pia ikue
 
Ndio na mpaka unaona mwanaume anaanza kutafuta mwanamke mtandaoi, inabidi aangaliwe kwa jicho la pili.

Mwanaume mstaarabu hata kama atakutana na kituko, huwa kuna koromeo...la kuhifadhi dhambi za mtu....
Filter sidhani kama itanifanya niwe mzungu au muarabu, nitabaki kuwa mimi, sanasana nitakuwa soft ila sura na umbo ni kila kitu.

Labda angesema kakimbia kingine.
Sema target zake huenda ilikuwa kumla, ila dada kachomoa sasa katika kurudisha mashambulizi, kaamua ajifariji humu.
Huyo wa mtandaoni ana walakini na hajimani huyo, tena mwanaume asiye weza kuhifadhi madhaifu ya mwenzako hafai kwenye uanaume aisee ni aibu tupu.
Na mwenyewe ndo nashangaa filter zimemdaganyaje kwa mfano had akaona mtu kawa tofauti.

Huyo itakuwa kumbunulia msosi wa buku 10000 na soda kilimuuma na papuchi kakosa sasa kaja kunalizia hasira humu
 
Ndio na mpaka unaona mwanaume anaanza kutafuta mwanamke mtandaoi, inabidi aangaliwe kwa jicho la pili.

Mwanaume mstaarabu hata kama atakutana na kituko, huwa kuna koromeo...la kuhifadhi dhambi za mtu....
Filter sidhani kama itanifanya niwe mzungu au muarabu, nitabaki kuwa mimi, sanasana nitakuwa soft ila sura na umbo ni kila kitu.

Labda angesema kakimbia kingine.
Sema target zake huenda ilikuwa kumla, ila dada kachomoa sasa katika kurudisha mashambulizi, kaamua ajifariji humu.
Mimi kiufipi nilimpata mwanaume jf ila yeye alikuwa hajiamini full stress sipendagi kabisa madude kama hayo ni makengee.
Yaani anataka uwe kistaili fulani uchart vitu vya maana .
Sipendi hiki sijui vile hivi sasa mimi nikatoto bado so utoto lazima uwepo sio serious masaa yote kama mpo imigration.
Yaani alipoona hatufaani nilifurahi hadi nikanywa kilevi nakumshukuru Mungu kwa kila jamboo hureeeee.
Kama nimeshinda jackpot bingoo ya mabillion
 
Kwahiyo unasema ulichat nae muda tu ila hukujua yupoje.
Na wakati unakutana nae Dm hukujua kama ile ni filter?
Mbona filter inaonekana hata kwa muoni hafifu?
Mbona Linnah umemjua, iweje huyo Mwajuma Ndalandefu hukumjua?
Acheni ubabaishaji...
Kuna maisha nje ya Jf.
Sio kila kitu mpaka maisha yako nje ya keybord unayaanika humu.

Kukua sio mwili tu, na akili pia ikue
Nani katajwa?Au wewe uko jukwaa hili ili iweje?Kama kila mtu akikaa na yakwake,jukwaa hili lingekuwa linajadili nini sasa?Au yale yanayokufurahisha ndio halali ila yanayokukera sio halali!
 
Halafu wana tabia za kuigiliziana!...

That's y naprefer na na kumheshimu mwanaume nayekutana nae kitaa hawanaga hizo mambo!

Mtandaoni lazima mkimbiane tu na kuboana aaagh!
Correct
Wanaume wa humu wanaigana sana.
Kila demu mbaya, kila demu hana chura.

Ila mkikutana mtaani anakusifia wakati hapa Jf anaponda.
Hawa viumbe nashindwaga kuwaelewaga mazima aisee
 
Yaani jukwaa la hovyo siku zote.
Afu wanajiita wana busara.

Wangekuwa na busara wangekuja kuanika mwisho wao wa kufikiri hapa?
Unajisifu kabisa eti nenda kaone mada nilizoanzisha Jukwaa la siasa.
Mie nilijua jukwaa la dini
Kwani kuazisha mada ndo u genius mbona wengine tuna madini na hatuanzishi mada
 
Hivi camera humbadikisha mtu sura na body structure kiaje aisee mi mbona sielewi, ukitaka wa Direct unaenda africasana unapata cheap hata buku tano tu.
Mkuu mabadiliko yapo hasa katika sura ila structure hapana,

Kuhusu kutaka vya direct nafikiri halikuwa lengo la huyu mheshimiwa, katika pita pita zake huko mtandaoni ndo akakutana na huyo malaika ( Sasa malengo yake anayajua yeye) , na kukutana na mtu mtandaoni kwa maoni yangu syo vibaya kwasababu ninako tembea mimi(mtaani) huenda wewe hukatizi kabsa na huji pita , hivyo nimekubahatisha huku na mambo yanaendelea tokea hapo
 
Ndio maana hajaoa yupo single na mama wa mtoto wake kaolewa na mtu mwingine si shangai majuzi nikampata mwingine huyo anakuuliza kama unaelimu .
1.mwanamke mwenye elimu mtaani hatongozwi unakuwa safe kwa hilo.
2.mwanamke aliyesoma ni mwelewa na pia anajituma mtapata maendeleo yenu.
3.mwanamke aliyesoma anajitambua na anajua kuishi vema na familia yake.
Nikaona hapa sisi ambao hatujasoma ngoja tukae nakina mushi.
Ukiangalia ameezeka anasubiria nini??
Oa mpeleke mama akaongeze elimu mtakufa single.
 
Correct
Wanaume wa humu wanaigana sana.
Kila demu mbaya, kila demu hana chura.

Ila mkikutana mtaani anakusifia wakati hapa Jf anaponda.
Hawa viumbe nashindwaga kuwaelewaga mazima aisee
Mi kukutana na wa JF mwiko though kuna mmoja tunaheshimana naye yuko very matured kabisa the rest hamna kukutana wanaume wambeya kuchunguza chunguza tu cjui wanalipwa
 
Correct
Wanaume wa humu wanaigana sana.
Kila demu mbaya, kila demu hana chura.

Ila mkikutana mtaani anakusifia wakati hapa Jf anaponda.
Hawa viumbe nashindwaga kuwaelewaga mazima aisee
Most of them wamevurugwa vibaya vibaya na stress za kufa mtuu!

Kwahiyo inabidi aje humu kujifariji kwa kutukana na kibaya zaidi anapotongoza ukamkubalia ndio shughuli inapoanzia sasa hapo!

Mi huwa nashangaa hivi ukinitangaza hata mi si nitakutangaza tu coz na mimi nakuwa nimeona weakness kibao kwako[emoji15] ....
That's y hata mtu kuwa nae na urafiki sipendi hataa!
 
Huyo wa mtandaoni ana walakini na hajimani huyo, tena mwanaume asiye weza kuhifadhi madhaifu ya mwenzako hafai kwenye uanaume aisee ni aibu tupu.
Na mwenyewe ndo nashangaa filter zimemdaganyaje kwa mfano had akaona mtu kawa tofauti.

Huyo itakuwa kumbunulia msosi wa buku 10000 na soda kilimuuma na papuchi kakosa sasa kaja kunalizia hasira humu
Siku zote huwa nawaambia, mwanaume rijali anatongoza mwanamke bila kupitia sehemu yoyote.
Ukiona hivi...kuna walakini
 
Ni shida humu JF kuna mkaka alisambazaga picha za Dada aliyekuwa ana date naye cjui alipata wapi huo ujasiri
Asa kwa faida gani?
Halafu sasa, huwezi amini, yule mdada kupitia zile picha kapata mkaka na anamjali mpaka aibu

Dhahabu inapitia kwenye moto ili ipate uthamani, sio kama inapata adhabu ya kuunguzwa
 
Wengi wa watumiaji wa social media ukiona kataka mawasiliano na wewe Ujue kashakutamani kimapenzi,kashakutaka kimapenzi either kwa maandishi yako humu JF au threads au comments au Picha kule instagram.
.
sasa mnapopanga siku mkutane viwanaume wengi sana hua na lengo la kutoa ya moyoni hapo ni baada ya kua marafiki hata kwa mwaka bila kuonana,sasa mwsho ndio mtu anataka kukuona akutongoze live au akazie ombi lake kama alishawahi kukupa.
.
Wanaume wanaokua na mawazo hayo ya kwenda kukutana na mwanamke kuongelea mambo ya mapenzi kutongozana ndio 81% Tunaongoza kwa kuwakimbia hao wadada wanaotokea na muonekano negative na fikra zetu zilivyowaza.
.
Ukiona umekimbiwa ewe dada au umezimiwa simu jua ulikua unatakwa kimapenzi,wakati mwingine muwe mnamshukuru mungu cause mwanaume huyo alokukimbia hata ungekua mzuri vipi akishakuonja hua automatically taste huisha na Atakukimbia tena tu.
.
so mnapokimbiwa mshukuruni mungu kwan n shetan kawakimbia,msipende kuangalia kukimbiwa kama tatzo angalieni na faida zake pia,maana kuna faida nyingi kuliko hasara.
.
Real man Hakukimbii,mwanaume mwenye moyo haku block akiona hujakidhi vigezo akili yake ina badilisha tu MADA kama nlikuja na Mada ya kumtongoza Madam,nkimwona akawa mbovu mbovu yani story ntazoanzisha n nyingineeeeeeeee hamna kutongozana tena.
 
Mimi kiufipi nilimpata mwanaume jf ila yeye alikuwa hajiamini full stress sipendagi kabisa madude kama hayo ni makengee.
Yaani anataka uwe kistaili fulani uchart vitu vya maana .
Sipendi hiki sijui vile hivi sasa mimi nikatoto bado so utoto lazima uwepo sio serious masaa yote kama mpo imigration.
Yaani alipoona hatufaani nilifurahi hadi nikanywa kilevi nakumshukuru Mungu kwa kila jamboo hureeeee.
Kama nimeshinda jackpot bingoo ya mabillion
Kanikuta naandika nijuavyo.
At the end anataka nikiwa nae niache kila nilichokuwa nafanya.
Huu ni udwanzi wa hali ya juu aisee
 
Mimi kiufipi nilimpata mwanaume jf ila yeye alikuwa hajiamini full stress sipendagi kabisa madude kama hayo ni makengee.
Yaani anataka uwe kistaili fulani uchart vitu vya maana .
Sipendi hiki sijui vile hivi sasa mimi nikatoto bado so utoto lazima uwepo sio serious masaa yote kama mpo imigration.
Yaani alipoona hatufaani nilifurahi hadi nikanywa kilevi nakumshukuru Mungu kwa kila jamboo hureeeee.
Kama nimeshinda jackpot bingoo ya mabillion
Haaahaaaa....alitaka uigize kijf jf?

Me niko real tukikutana sijui kuanza kuigiza siigizi na nenda katangaze!

Ole wako tu nikujue
 
Back
Top Bottom