Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Asa kwa faida gani?
Halafu sasa, huwezi amini, yule mdada kupitia zile picha kapata mkaka na anamjali mpaka aibu

Dhahabu inapitia kwenye moto ili ipate uthamani, sio kama inapata adhabu ya kuunguzwa
Ujinga mwingi mno hivi huwa wa nafikiria nini mleta mada hajakua bado kiakili huyu
 
Nani katajwa?Au wewe uko jukwaa hili ili iweje?Kama kila mtu akikaa na yakwake,jukwaa hili lingekuwa linajadili nini sasa?Au yale yanayokufurahisha ndio halali ila yanayokukera sio halali!
Nimekwambia ningekuwa jukwa la siasa ningekujibu.
Ila nakujibu hapa kwa kuwa umeleta mada yako hapa MMU.
Asap
 
Wengi wa watumiaji wa social media ukiona kataka mawasiliano na wewe Ujue kashakutamani kimapenzi,kashakutaka kimapenzi either kwa maandishi yako humu JF au threads au comments au Picha kule instagram.
.
sasa mnapopanga siku mkutane viwanaume wengi sana hua na lengo la kutoa ya moyoni hapo ni baada ya kua marafiki hata kwa mwaka bila kuonana,sasa mwsho ndio mtu anataka kukuona akutongoze live au akazie ombi lake kama alishawahi kukupa.
.
Wanaume wanaokua na mawazo hayo ya kwenda kukutana na mwanamke kuongelea mambo ya mapenzi kutongozana ndio 81% Tunaongoza kwa kuwakimbia hao wadada wanaotokea na muonekano negative na fikra zetu zilivyowaza.
.
Ukiona umekimbiwa ewe dada au umezimiwa simu jua ulikua unatakwa kimapenzi,wakati mwingine muwe mnamshukuru mungu cause mwanaume huyo alokukimbia hata ungekua mzuri vipi akishakuonja hua automatically taste huisha na Atakukimbia tena tu.
.
so mnapokimbiwa mshukuruni mungu kwan n shetan kawakimbia,msipende kuangalia kukimbiwa kama tatzo angalieni na faida zake pia,maana kuna faida nyingi kuliko hasara.
.
Real man Hakukimbii,mwanaume mwenye moyo haku block akiona hujakidhi vigezo akili yake ina badilisha tu MADA kama nlikuja na Mada ya kumtongoza Madam,nkimwona akawa mbovu mbovu yani story ntazoanzisha n nyingineeeeeeeee hamna kutongozana tena.
Umeandika ukweli kabisa mi JF nimekutana na mtu sasa ni best friend hatari ilitokea tu accidentally loh. Hyo kumtamani mtu kisa comment mbona mpya loh.
 
Mkuu mabadiliko yapo hasa katika sura ila structure hapana,

Kuhusu kutaka vya direct nafikiri halikuwa lengo la huyu mheshimiwa, katika pita pita zake huko mtandaoni ndo akakutana na huyo malaika ( Sasa malengo yake anayajua yeye) , na kukutana na mtu mtandaoni kwa maoni yangu syo vibaya kwasababu ninako tembea mimi(mtaani) huenda wewe hukatizi kabsa na huji pita , hivyo nimekubahatisha huku na mambo yanaendelea tokea hapo
Filter inabadilishaje sura ya mtu maana mi naweza piga picha na kuweka color yoyote lakini nikabaki vile vile tu.

Huyo jamaa kazoea kununua machangu mtandaoni hafu hana siri kabisa
 
Hahahhaha
Mi kukutana na wa JF mwiko though kuna mmoja tunaheshimana naye yuko very matured kabisa the rest hamna kukutana wanaume wambeya kuchunguza chunguza tu cjui wanalipwa
Unashangaa tu picha zako ziko public.
Humu kuna wanaume wa hovyo sana
 
Most of them wamevurugwa vibaya vibaya na stress za kufa mtuu!

Kwahiyo inabidi aje humu kujifariji kwa kutukana na kibaya zaidi anapotongoza ukamkubalia ndio shughuli inapoanzia sasa hapo!

Mi huwa nashangaa hivi ukinitangaza hata mi si nitakutangaza tu coz na mimi nakuwa nimeona weakness kibao kwako[emoji15] ....
That's y hata mtu kuwa nae na urafiki sipendi hataa!
Ndio hivo.
Tuishi nao kwa akili.
Wakitutaka, tukiwakataa watatusema na tukiwakubali wanatusema pia.

Sijui huwa wanatakaga nini hawa viumbe
 
Nimekwambia ningekuwa jukwa la siasa ningekujibu.
Ila nakujibu hapa kwa kuwa umeleta mada yako hapa MMU.
Asap
Hujaelewa,unaposema sijui mambo yako unaleta humu jamvini,ndio nakuuliza hivyo!Unataka jukwaa hili kiwekwe kitu gani?Mbona kama tunaongea lugha 2 tofauti?
 
Back
Top Bottom