Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Kuna post imeletwa leo jalibu kuitatuta uone watu wanavyotililika....pole my bro[emoji23]
 
Acheni roho mbaya na husda.
Sasa mnataka sie wenye sura za baba tupendwe na akina nani?

Kwani wewe unataka sura au mnato?
Acheni ulimbukeni na ushamba.

Na bado, mtatujua mpaka akina Rihanna tunaoongea kiswahili sanifu na kihaya.
Shubaamit!!!!
Sasa si muweke sura zenu bila kuziedit na maphotoshop kibao?
 
Wamitandao ni hatari,FILTERS zinawapandisha chati ila kiuhalisia wengine ni sivyo walivyo.
 
Halafu sijui kwann hawajishtukii!!!Au wakijiangalia kwenye kioo,huwa hawaoni tofauti na mapicha picha wanayotupia insta?
wengi huimagine ni wazuri kwahiyo picha ya kwamba wao ni wazuri hujijenga vichwani mwao na hukomaa!
 
Nyie tatizo mnataka demu wenye chura au mwenye chuchu konzi.
Ila all in all...unataka sura au mnato?
Kama ni mnato,mbona wanawake wa sinza wana bei kuliko wa buguruni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…