Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbeeee. Basi na Ye kavumiliwa kwenye hayo makutano. MTU mnene Kama putoHuyo mtoa mada ni Peter Msechu typical
Ndio.Yani unataka nauli ya kwenda moro au?
Ila Peter sijui anakaaga style gani.Kumbeeee. Basi na Ye kavumiliwa kwenye hayo makutano. MTU mnene Kama puto
Kiroba?????? Utumbo wangu utapiga yowe Siku hiyoSi uje umepiga kiroba ili ukipiga 2 tu ushalegea!
Ila Peter sijui anakaaga style gani.
Hawa ndo wale wanalala chaliii mwanamke unakuja juu.
Hawanaga style ingine
Bora hata wewe mstaarabu umetoa 10Mimi nwenyewe yalinikuta hayo kama majuma 2 yaliyopita , nikiwa kwenye gari tinted nikawanampigia simu ,tulipokuwa tunaongea yeye akawa hanioni na mimi nilikuwa namuona,duh nilivyokuwa namuona DM ni tofauti sana na nilivyomuona mubashara,nilichofanya ni kumtumia buku 10 chapuchapu ya nauli kwenye Mpesa na kumuandikia ujumbe kwamba nimepata dharula!!!
Kwa kweliiiiWoman on top labda.
Huo uzoefu umeupata wapi wakati umesema hujawahi date na mwanamke mnene?Ila wanene na joto la dar,umeme ukikatika tu,humo ndani hakulaliki
Duuuuuh huu mzigo ni D8 or D9😀😀😀😀😀 Ukikulalia kwa bahati mbaya mpaka utoke tayari ushakuwa mtu wa kuimbiwa parapanda😛😛😛
Haina tabu.Daaaaah kwa hali hiyo Tukikutana leo basi itabidi tukutane tena baada ya wiki 2!
HakikisheniZa chini ya kapeti
Hii avatat yako inanitisha na siwajui wanaume ni akina nani kwa ufupisimba na ukali wake akinguruma
majani yanasimama ila ANazaa..wanaume ndo nan kwenye hivi viumbe vya ajabu