Nimekaa nikafikiria, nikaona biashara ya matunda itanifaa zaidi

Nimekaa nikafikiria, nikaona biashara ya matunda itanifaa zaidi

Dada ushapewa mwongozo anza biashara miluzi mingi itlakupoteza sasa.... Vifungashio nenda kkoo kule karibu na shimoni kuna maduka yamezunguka soko utapata unachohitaji.

Nb: biashara ya chakula zingatia sana usafi wako pia uwe msafi miguuni sio uvae ndala afu miguu ina vumbi hao wateja wa posta utawakosa labda uje huku buza
 
Dada ushapewa mwongozo anza biashara miluzi mingi itlakupoteza sasa.... Vifungashio nenda kkoo kule karibu na shimoni kuna maduka yamezunguka soko utapata unachohitaji.

Nb: biashara ya chakula zingatia sana usafi wako pia uwe msafi miguuni sio uvae ndala afu miguu ina vumbi hao wateja wa posta utawakosa labda uje huku buza
buza hata kwa uvaaji huo hatawapata washastarabika hela yake imtese haahaa usafi usafi usafi!
 
Sheria ya kwanza ya biashara ondoa huruma haifai,tunza pesa na linda utu wako ussije ukawa unauza matunda ukabakia unauza tunda jithamini na kuwa msafi....ziniatia ili weka akili kuwa wew ni mfanyabiashara mkubwa wa matunda na unafanya delivery najua mwanzo mgumu ila nakuhakikishia makubwa.
 
Kwenye issues yeyote ya biashara muwe mnanicheki kama hv!

Kwanza matunda usichukulie mabibo na kama utachukulia mabibo basi utakua unaenda kusupply sinza 🤔sinza mzunguko sio mkubwa....labda Kuna sinza nyngn....

Cha kufanya asubuhi mapema wahi zako Buguruni chagua matunda yaweke vizuri kama ni boda buku mbili pale au guta unadaka buku zama kariakoo tafuta sehemu andaa matunda yako vzr weka ktk hali ya usafi na ww pia uwe nadhifu tembeza matunda

Location nzuri: peleka kwenye vijiwe vya madereva wa teksi na kenta mfano....au utajiongeza, mbele ya frame za maduka ya wachina hua wanafanya kufunga mizigo

Kwenye transporter zinazosafirisha mizigo pita pita mle 🤣hawashibagi chai

DDC mule pita pita huwez kosa mteja

Vya kuzingatia:
Usafi usafi usafi wa vifaa vya kazi na ww binafsi

Lugha nzuri 🤣 kwenye biashara wateja wanakera skiaga tu hasa hawa wa Hela ndogo anahis kama Kuna heshima hapewi.....usikutane na waha

Kama unakuaga na nyege mshindo kali sana jitahidi ufanye nje ya maeneo ya kazi mgeni huku tunaita usajili mpya 🤣ukikaaa vbya tutakushona vbya sana tukimaliza tukukabidhi kwa wasambaaa waendesha guta wakumalizie, ukiliwa na Moja tutapeana taarifa afu tutakukimbia haraka sana jitahidi ufiche makucha kwanza wakikuzoea ndo ufanye hayo

Jitahidi uwe na wateja wa kudumu kama kadhaaa hv hao ni wa uhakika baada ya hapo unakua unasaka addition tu itakurahisishia sana

Jua kucheza na mda usiwahi sana usichelewe sana
 
kwenye maisha ya utaftaji jifunze tu kuwa social utawin vitu vingi usiwe na EGO ahoo ahaoo wateja wako wapo watakao kufungulia njia Nyingine.ila kwa ushauri wangu kwanin usiuzie kariakoo itakufungulia na Njia ya kujifunza biashara nyingine ushauri tu
Kwamba nizungushie matunda yangu kwenye maduka ya humo humo Kariakoo tu, ama?

Mi sikuona mahali ambapo naeza eka biashara yangu nikakaa nikatulia. Mji wa watu huu kaka

Naomba muongozo jamani
 
1st of all niwashukuru nyoote mliofunguka maoni yenu, truth of all yanatia hamasa na kidogo mtu unapata mwangaza wa kuthubutu

Nimefikia hatua nimeafiki biashara ya kutembeza mchanganyiko wa matunda yaliyokatwa katwa. Hence, siku ya kesho naingia kulangua matunda yangu although nimeshauriwa kuanza na matunda ya 15,000 na best angu hapa. Kesho ntanunua vile vipackage pamoja na deli langu la kuanzia maisha

Jana jioni niliamua kutembelea posta, kariakoo na Sinza kujionea mwenyewe ni wakina nani nitakuwa nawauzia. Very shameful, aibu jamani nyie, but hakuna namna naeza fanya, nitakomaa hivyo hivyo, sijui watanichangia!? 🤔 They are too busy, yaani zaidi ya busy

Naomba kufahamu:
Wapi ni bora zaidi kulangulia? Mabibo au Buguruni?

Vile vifungashio nitavilangulia wapi kwa bei nafuu?

Nianzie kuzungukia wapi na deli langu, Sinza ama Posta? Jamani msinichoke, I need your presence ili nipate ujasiri, natamani hata muongozane na mimi mnipe moyo

Nakwenda kupita mitaa ya Gaza jamani
Unahangaika sana ila ungepanga chumba na kufuata ushauri wangu mpaka umalize msimubwa mvua umekua mzoefu na una kibunda safi tu sasa kasage kwato unadhani msimu kama huu matunda nani anakula kirahisi 😂😂😂 labda ukawauzie tunda la mti wa kati
 
1st of all niwashukuru nyoote mliofunguka maoni yenu, truth of all yanatia hamasa na kidogo mtu unapata mwangaza wa kuthubutu

Nimefikia hatua nimeafiki biashara ya kutembeza mchanganyiko wa matunda yaliyokatwa katwa. Hence, siku ya kesho naingia kulangua matunda yangu although nimeshauriwa kuanza na matunda ya 15,000 na best angu hapa. Kesho ntanunua vile vipackage pamoja na deli langu la kuanzia maisha

Jana jioni niliamua kutembelea posta, kariakoo na Sinza kujionea mwenyewe ni wakina nani nitakuwa nawauzia. Very shameful, aibu jamani nyie, but hakuna namna naeza fanya, nitakomaa hivyo hivyo, sijui watanichangia!? 🤔 They are too busy, yaani zaidi ya busy

Naomba kufahamu:
Wapi ni bora zaidi kulangulia? Mabibo au Buguruni?

Vile vifungashio nitavilangulia wapi kwa bei nafuu?

Nianzie kuzungukia wapi na deli langu, Sinza ama Posta? Jamani msinichoke, I need your presence ili nipate ujasiri, natamani hata muongozane na mimi mnipe moyo

Nakwenda kupita mitaa ya Gaza jamani
Kama Hilo hipsi hapo dp ni lako hayo matunda ya kwanza yalete kijichi
 
Dada angu kwenye safari ya mafanikio kubali kuonekana kituko,kichaa,mwehu,usiye na mbele wala nyuma..ila cha msingi uwe unajua unachofanya..WE FANYA TU~JUST DO IT.
 
Soko zuri na vitu bei chee mm najua ni ilala nenda huko kanunue.Ndizi 50 hadi 100
1st of all niwashukuru nyoote mliofunguka maoni yenu, truth of all yanatia hamasa na kidogo mtu unapata mwangaza wa kuthubutu

Nimefikia hatua nimeafiki biashara ya kutembeza mchanganyiko wa matunda yaliyokatwa katwa. Hence, siku ya kesho naingia kulangua matunda yangu although nimeshauriwa kuanza na matunda ya 15,000 na best angu hapa. Kesho ntanunua vile vipackage pamoja na deli langu la kuanzia maisha

Jana jioni niliamua kutembelea posta, kariakoo na Sinza kujionea mwenyewe ni wakina nani nitakuwa nawauzia. Very shameful, aibu jamani nyie, but hakuna namna naeza fanya, nitakomaa hivyo hivyo, sijui watanichangia!? 🤔 They are too busy, yaani zaidi ya busy

Naomba kufahamu:
Wapi ni bora zaidi kulangulia? Mabibo au Buguruni?

Vile vifungashio nitavilangulia wapi kwa bei nafuu?

Nianzie kuzungukia wapi na deli langu, Sinza ama Posta? Jamani msinichoke, I need your presence ili nipate ujasiri, natamani hata muongozane na mimi mnipe moyo

Nakwenda kupita mitaa ya Gaza jamani
 
Kwenye issues yeyote ya biashara muwe mnanicheki kama hv!

Kwanza matunda usichukulie mabibo na kama utachukulia mabibo basi utakua unaenda kusupply sinza 🤔sinza mzunguko sio mkubwa....labda Kuna sinza nyngn....

Cha kufanya asubuhi mapema wahi zako Buguruni chagua matunda yaweke vizuri kama ni boda buku mbili pale au guta unadaka buku zama kariakoo tafuta sehemu andaa matunda yako vzr weka ktk hali ya usafi na ww pia uwe nadhifu tembeza matunda

Location nzuri: peleka kwenye vijiwe vya madereva wa teksi na kenta mfano....au utajiongeza, mbele ya frame za maduka ya wachina hua wanafanya kufunga mizigo

Kwenye transporter zinazosafirisha mizigo pita pita mle 🤣hawashibagi chai

DDC mule pita pita huwez kosa mteja

Vya kuzingatia:
Usafi usafi usafi wa vifaa vya kazi na ww binafsi

Lugha nzuri 🤣 kwenye biashara wateja wanakera skiaga tu hasa hawa wa Hela ndogo anahis kama Kuna heshima hapewi.....usikutane na waha

Kama unakuaga na nyege mshindo kali sana jitahidi ufanye nje ya maeneo ya kazi mgeni huku tunaita usajili mpya 🤣ukikaaa vbya tutakushona vbya sana tukimaliza tukukabidhi kwa wasambaaa waendesha guta wakumalizie, ukiliwa na Moja tutapeana taarifa afu tutakukimbia haraka sana jitahidi ufiche makucha kwanza wakikuzoea ndo ufanye hayo

Jitahidi uwe na wateja wa kudumu kama kadhaaa hv hao ni wa uhakika baada ya hapo unakua unasaka addition tu itakurahisishia sana

Jua kucheza na mda usiwahi sana usichelewe sana
Basi umemaliza bro, winga mwenzangu!!
Umenifurahisha ulivyompa tahadhali kumbe mnajijua tabia zenu, wazee wa usajili mpya 🤣🤣🤣🤣
 
Safi komaa, mm nikutie tu moyo dada

Lamomy najua unaweza fanya kitu
Dah!! Ataweza kweli sheria zangu za maisha na kujinyima huyu?!!
Hayo matunda aje auzie kkoo atapata wateja wengi, na akiwa na nia ya kupanda ngazi za mafanikio basi aitazame kkoo kwa jicho la tatu.
Yangu ni hayo kwa uchache!!
Akisoma comment yangu kwa umakini atapata kitu.
 
Back
Top Bottom