Nimekagua Gari sita Yard siku ya leo, majanga ni makubwa.

Mbona iliyopo hapo sio Actual distance (sio Odometer readings). Ukiona kuna herufi A au B hiyo ni setting distance (trip distance), actual distance kunakuwa na herufi ODO maana yake Odometer reading.
Hiyo haibadiliki mkuu
Madmax amekujibu na yuko sahihi kabisa, odo ni hiyo unayoiona kwa chini hapo hiyo ya juu ni mileage
 
Ndiyo lengo la dpw kufanya tanzania na africa kuwa dampo ...kwasasa tz hatuna kiongozi nchini
 
Mi nadhani ukitaka kilichonyooka agiza mpya. 0km. Hizi used zetu ukianza kuzikagua sana yatakushinda. Kikubwa angalia yenye unafuu, lipia kavimbe huko.
Lengo la kukagua ni kuona kama unaweza kuyabeba madhaifu utayokutana nayo si kukimbia, hizo gari zote tumekagua jamaa kafikia hatua ya kuchukua gari ambayo ina 127000km japo dash yake iliandika 56000Km.

angalau ndio gari iliyokuwa na least problems
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…