Nimekamata Ujumbe Katika Simu ya Mke Wangu Akimtumia Mama Yake Majina ya Wanawake Anaohisi Kuwa ni Michepuko Yangu, Nimeshangaa na Kufadhaika.

Nimekamata Ujumbe Katika Simu ya Mke Wangu Akimtumia Mama Yake Majina ya Wanawake Anaohisi Kuwa ni Michepuko Yangu, Nimeshangaa na Kufadhaika.

Nnachojua Mwanaume kushika simu ya Mke ndio umama ila Mke kushika simu yangu iyo kawaida na atakayokutana nayo humo ndio atajua mwenyewe ameze dawa gani, simu yangu hata mwanangu wa miaka mitano anajua password na Mama yao pia ila akishoboka kuchunguza yasiomhusu atajua mwenyewe ila mimi simu yake sijawahi kuigusa hata akiacha wapi sina huo muda mimi natimiza majukumu yangu tu
Hakika umeongea, na huo ndo uanaume!
 
kama mkeo ni mtu wa mikoa ya pwani kuanzia tanga shuka hadi mtwara bas kua na wasiwasi ANATAKA KUWALOGA hao wanawake otherwise endelea kupiga bia tuu hamna kitu, ila narudia kama mkeo ni mtu wa pwani mkuu stay at ease
Ahsante mkuu, ngoja nimkatie denge
 
Mali zako umeziandikisha kwa jina la mama yako ?
Why the hell should I do that?!!! Kuna ndugu watata, ataondoka mama na watakomalia mali.
Mi nina vyangu ambavyo mke havijui kamwe!
 
Msaada wenu tafadhali.

Amechambua jumbe zangu katika simu yangu, kila jumbe ya kike iliyokuwa tata kidogo kwake amelitafuta jina la namba hiyo na sasa amemtumia mama yake majina yote. Hili nimeligundua leo baada ya kuinasa katika siku yake.....bila shaka alijisahau kuifuta.

Majina haya wanataka wakayafanyie nini?!!! Ni wachawi hawa?!!!!!!! Mpaka sasa nimekausha tu kimya nasubiri kwanza nipate hili na lile katika ushauri.

Kwa kawaida huwa sifuti meseji kila wakati na nina marafiki wengi tu wa kike ambao tunaongea ya maana, tunaongea yasiyo na maana, tunataniana n.k katika kupitisha siku. Hili nimewahi kumuelekeza na simu yangu ni yake tu.

Nimefadhaika na kushangaa sana!!
Dawa kama una mchepuko piga chini,hakuna cha uchawi wala nini,unawekewa ushahidi,na kama vichenchi vipo vipo jiandae kuombwa talaka na kugawana mali😂
 
Dawa kama una mchepuko piga chini,hakuna cha uchawi wala nini,unawekewa ushahidi,na kama vichenchi vipo vipo niandae kuombwa talaka na kugawana mali😂
Ahsante sana
 
Nnachojua Mwanaume kushika simu ya Mke ndio umama ila Mke kushika simu yangu iyo kawaida na atakayokutana nayo humo ndio atajua mwenyewe ameze dawa gani, simu yangu hata mwanangu wa miaka mitano anajua password na Mama yao pia ila akishoboka kuchunguza yasiomhusu atajua mwenyewe ila mimi simu yake sijawahi kuigusa hata akiacha wapi sina huo muda mimi natimiza majukumu yangu tu
Ukikua utakuja kujua ulikua unachemka
 
Mahusiano ya kuwindana hivyo,
Mara meseji kwa mama mkwe,
Kazi kwelikweli.
 
Msaada wenu tafadhali.

Amechambua jumbe zangu katika simu yangu, kila jumbe ya kike iliyokuwa tata kidogo kwake amelitafuta jina la namba hiyo na sasa amemtumia mama yake majina yote. Hili nimeligundua leo baada ya kuinasa katika siku yake.....bila shaka alijisahau kuifuta.

Majina haya wanataka wakayafanyie nini?!!! Ni wachawi hawa?!!!!!!! Mpaka sasa nimekausha tu kimya nasubiri kwanza nipate hili na lile katika ushauri.

Kwa kawaida huwa sifuti meseji kila wakati na nina marafiki wengi tu wa kike ambao tunaongea ya maana, tunaongea yasiyo na maana, tunataniana n.k katika kupitisha siku. Hili nimewahi kumuelekeza na simu yangu ni yake tu.

Nimefadhaika na kushangaa sana!!
Bado hujajitambua,kwanza hakuna urafiki kati ya mwanamme na mwanake,umeoa eti unasema unachati na kutaniana.na marafiki zako wa kike.

Wewe Wawapi !?

Nashauri wakuloge kabisa Hadi akili zikae sawa
 
Alafu bado watu wanaulizana kwa nini wanaume tunakufa mapema...
 
Back
Top Bottom