Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

Pole Sana mkuu, ila kuwaridhisha binadamu ni kazi ngumu sana na hutoiweza.

Muhimu jipende mwenyewe,ujijali na fanya kile unachokipenda na kukifurahia usiruhusu kabisa binadamu wenzako wakutese.
 
Kama ni kisa cha kweli nikikaa na wewe one on one nakubadilisha kabisa na utaishi vizuri, kukosa nguzo ya brain around you au mwongozo wa kiroho wa kweli ni tatizo dogo, tena uzuri huna shida ya pesa, wewe huna matatizo kbsa, tiba yako ndogo sana
 
Pi! It’s okey to feel that way, ni sawa.. ila si afya!
Ni human nature kutafuta uthamani wetu kupitia wengine, ila si afya!
Ushajiuliza ungejikuta unaishi na mbuzi tu nani angekuacknowledge??
Jitambue wewe ni nani, Jithamini kwanza mwenyewe jipende sana tu, halafu utasahau hata kama you need people’s recognition and acknowledgements.

Kumbuka kujipenda ni kujilinda na kujitunza pia wacha masigara bangi mipombe na makahaba ni uharibifu.Shetani huwa anatumia mianya hii ambapo mtu uko so down akakushambulia kwa kukuingizia mawazo mabaya ukiyafuata ni mwanzo wa majuto yajayo!

By the way tunakuacknoledge ndiyo maana tumerespond, isn’t this enough??
 
Kama ni kisa cha kweli nikikaa na wewe one on one nakubadilisha kabisa na utaishi vizuri, kukosa nguzo ya brain around you au mwongozo wa kiroho wa kweli ni tatizo dogo, tena uzuri huna shida ya pesa, wewe huna matatizo kbsa, tiba yako ndogo sana
Mkuu pesa sio dawa ya kila kitu. Sina shida ya pesa kabisa.
 
Pi! It’s okey to feel that way, ni sawa.. ila si afya
Ni human nature kutafuta uthamani wetu kupitia wengine, ila si afya!
Ushajiuliza ungejikuta unaishi na mbishi tu nani angekuacknowledge??
Jitambue wewe ni nani, Jithamini kwanza mwenyewe jipende sana tu, halafu utasahau hata kama you need people’s recognition and acknowledgements.

Kumbuka kujipenda ni kujilinda na kujitunza pia wacha masigara bangi mipombe na marahaba ni uharibifu.Shetani huwa anatumia mianya hii ambapo mtu uko so down akakushambulia kwa kukuingizia mawazo mabaya ukiyafuata ni mwanzo wa majuto yajayo!

By the way tunakuacknoledge ndiyo maana tumerespond, isn’t this enough??
Thanks....umeniongezea jambo Muhimu
 
Nakushauri usiingie kwenye ulevi na wanawake huko ndo kuna shida zaidi hasa pale utakapopata STI au kufumaniwa. Ni shida

Naomba elekeza kila senti yako kwa mustakabali wa watoto wako tu na zaidi kaa na mkeo muyajenge hayo ya watoto.
 
Nasema ivi utazidi kuteseka narudia tena utazidi kuteseka na ki takakachokutesa zaidi ni nddugu zako badaye sababu utaisi watakuwa msaada kwako bdaye Ila ni hakuna yani umekuwa mkuu wa idara unashindwa kuwakemea wa chini yko aisee wala usiwalaumu wanadamu jilaumu mwenyewe kwaiyo ukisemwa unakasirika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli Una shida sehemu kwani maneno ni mzigo labda nikwambie Tu ukitaka kufurahia maisha saidia ndugu uko waliko wasikuzoee sana wakikuzoea sana usitegemee kama utafurahia mahusiano yako ya kimapenzi maana watahisi kama wanaibiwa na mpenzi wako na mpenzi wako naye ataona hatendewi haki wala usijilaumu jichunguze na ujue wapi umekosea makosa yapo kwako na si Kwa wanadamu ukitaka Amani ya nafsi usiwe na huruma ya kupitiliza ni ivyo tu

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
We ungekua kaka yangu ningekupiga makofi umenikera sanaaa!we Neema zote ulizopewa hizoo bado unalalamika!
Hujui kua wanakufanyia,husda,chuki na majungu kwa kua una neema na una kitu kikubwa ndani yako wengine hawana!Hayo unayoyataka kuyafanya ndo suluhisho au?!!!Shetani ni mbaya sana anakutoa kwenye reli kabisa akupoteze!
 
Nakushauri usiingie kwenye ulevi na wanawake huko ndo kuna shida zaidi hasa pale utakapopata STI au kufumaniwa. Ni shida

Naomba elekeza kila senti yako kwa mustakabali wa watoto wako tu na zaidi kaa na mkeo muyajenge hayo ya watoto.
Watoto hawa ambao wakikuwa wanasema Bora mama au wakileta kitu wanampa mama Baba unabaki ebung'aa asomeshe wanaye Ila asijisahau kujiangalia na yaeye mwenyewe

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Watoto hawa ambao wakikuwa wanasema Bora mama au wakileta kitu wanampa mama Baba unabaki ebung'aa asomeshe wanaye Ila asijisahau kujiangalia na yaeye mwenyewe

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo nyie wanawake mnaona nimetoa ushauri mbaya mnataka awe danga lenu awatelekeze watoto?

Hapana kwakweli
 
Nakushauri usiingie kwenye ulevi na wanawake huko ndo kuna shida zaidi hasa pale utakapopata STI au kufumaniwa. Ni shida

Naomba elekeza kila senti yako kwa mustakabali wa watoto wako tu na zaidi kaa na mkeo muyajenge hayo ya watoto.
👍👍
 
Nakushauri usiingie kwenye ulevi na wanawake huko ndo kuna shida zaidi hasa pale utakapopata STI au kufumaniwa. Ni shida

Naomba elekeza kila senti yako kwa mustakabali wa watoto wako tu na zaidi kaa na mkeo muyajenge hayo ya watoto.
mtt wa mwisho anakwambia yupo form 4 ss awekeze kwa watoto wepi tena mwache ale maisha
 
We ungekua kaka yangu ningekupiga makofi umenikera sanaaa!we Neema zote ulizopewa hizoo bado unalalamika!
Hujui kua wanakufanyia,husda,chuki na majungu kwa kua una neema na una kitu kikubwa ndani yako wengine hawana!Hayo unayoyataka kuyafanya ndo suluhisho au?!!!Shetani ni mbaya sana anakutoa kwenye reli kabisa akupoteze!
Sasa mkuu unataka kunipiga kofi kwa sababu gani?? Tunatofautiana sisi binadamu ktk feelings zetu.
 
Back
Top Bottom