Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

Ushuhuda

Nimeshapoteza marafiki wawili kwa visa vya wivu wa kimapenzi mmoja alikuwa anatuhumiwa kuchepuka na mke wa mtu, akatumiwa vitisho akadharau mwisho akauliwa kwa kutekwa na kunyongwa. Mwingine alipewa sumu kwenye pombe

Geukia famile yako watoto wale vizuri wavae fresh, watoe out wakapige msosi wa maana na mwisho mkaze mkeo kwa fujo sana

Hao ndugu achana nao waachie zamu ya kumlea mama yenu sasa
 
Sio kwamba haya ni makubwa sana kuliko wengine bali kwangu ni mazito.
 
Njoo uniige mimi, nikiwa stressed naomba nyimbo za misiba mwanzo mwisho, kama Niko na gari basi naendesha very rough kisha baada ya hapo naishia kucheka nakutambua kuwa zipo peke yangu. Niko na watu nyuma yangu wananitegemea
 
Broa
Ushuhuda

Nimeshapoteza marafiki wawili kwa visa vya wivu wa kimapenzi mmoja alikuwa anatuhumiwa kuchepuka na mke wa mtu, akatumiwa vitisho akadharau mwisho akauliwa kwa kutekwa na kunyongwa. Mwingine alipewa sumu kwenye pombe

Geukia famile yako watoto wale vizuri wavae fresh, watoe out wakapige msosi wa maana na mwisho mkaze mkeo kwa fujo sana

Hao ndugu achana nao waachie zamu ya kumlea mama yenu sasa
nimekukubali eti nimkaze wife🤣🤣MMU raha sana. Imenioinguzia stress asante.
 
Njoo uniige mimi, nikiwa stressed naomba nyimbo za misiba mwanzo mwisho, kama Niko na gari basi naendesha very rough kisha baada ya hapo naishia kucheka nakutambua kuwa zipo peke yangu. Niko na watu nyuma yangu wananitegemea
Hili pia ni somo. Lakini kuendesha rough gari yako ni hatari kuliko. Umenichekesha hapo kwenye nyimbo za misiba. Naomba niunge kwenye hiyo playlist yako
 
Sawa ila tulia achana nao Fanya yako!hivi mkeo kazi yake mini badala ya kukupa faraja anakupa kero kuna mdai kakuambia kaza mkeo kwa fujo ndio hvyo hvyoo!kaza mkeo sanaaa!hakikisha mpk anaomba poo!kwani ulimuolea nini!!!!
Sasa mkuu unataka kunipiga kofi kwa sababu gani?? Tunatofautiana sisi binadamu ktk feelings zetu.
 
Hili pia ni somo. Lakini kuendesha rough gari yako ni hatari kuliko. Umenichekesha hapo kwenye nyimbo za misiba. Naomba niunge kwenye hiyo playlist yako
Hahahahaha Leo namsikiliza Ado November, Utabaki kuwa Mungu.

The Greatest Love of all is learning to love yourself by Whitney Huston
 
Asikudanganye mtu, kila mtu ana ups na downs zake! Those days nilikua na uwezo wa kushinda all alone shambani then narudi late home, sitaki kukutana hata na mtu but hio sio suluhisho, jifunze kujijua wewe ni nani, na nini thamani yako! Sikiliza sana nyimbo, nyimbo zinafariji sana!
 
Kuna jinsi ukiishi unakua Victim wa manyanyaso yani kila mtu anatamani akuonee ... Be totally unpredictable MOTHRFUVKERZ will notice you from the distance... achana na pombe mana hizi ni za matajiri na wewe huna jambo ( kapuku ). adopt some behaviors of Apex predators yani control situations
 
Maisha ni uwepo wako toka kuzaliwa mpaka kufa. Hali itakuwa shwari utapoenda kaburini.
Pambana tu mkuu, kupanga ni kuchagua.
 
Sasa mkuu unataka kunipiga kofi kwa sababu gani?? Tunatofautiana sisi binadamu ktk feelings zetu.
Uandishi wako tu unaonesha usipobadilika utaonewa sana ... yani mtu ashakuambia ungekua KAKA YANGU ningekupiga makofi unafikiri kuna mtu anaweza kumpiga kaka yake makofi kama hamdharau alafu we unajibu ...sasa MKUU unataka kunipiga kofi kwa sababu gani ukimaanisha kwamba kama anasababu ya kukupiga kofi akupige inaonyesha jinsi ulivyo dhaifu ndio mana wanaokuzunguka wanakuonea ...BE THE BEAST WHICH WANTS TO EAT YOU
 
nakubaliana na mawazo yako hapa mm nilipo nikiwa na stress zangu huwa napiga ganja yangu safi natulia ,kwenye haya maisha unatakiwa unatakiwa ujitafutie furaha yako ww mwenyewe usitegemee mtu akutafutie furaha yako
 
Sawa ila tulia achana nao Fanya yako!hivi mkeo kazi yake mini badala ya kukupa faraja anakupa kero kuna mdai kakuambia kaza mkeo kwa fujo ndio hvyo hvyoo!kaza mkeo sanaaa!hakikisha mpk anaomba poo!kwani ulimuolea nini!!!!
Kama hataki kumkaza, anambie mm nimkule kimasihara. We are here for season, usikubali mtu wa kando akutese wakati una maisha yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu, ukianza kulewa anza na Safari ndogo[emoji39][emoji39] sigara anza na Malboro[emoji125][emoji125] Ila wanawake achana nao kabisa utaishia shimo la tewa[emoji16]
 
Back
Top Bottom