Chief Sam
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 2,483
- 4,675
Endelea kumwamini Mungu chief,mi nna five yrs kwenye ndoa na mke wangu sijapata mtoto although mimba mbili zimeharibika sikati tamaa.
Tunalea mi nna mmoja wangu,naye mmoja lives goes on na michakato ya kumpata wetu inaendelea na niko na 32 ,yeye,25., Punguza stress piga zoezi Mungu hawezi kutupa Amini tu.
Tunalea mi nna mmoja wangu,naye mmoja lives goes on na michakato ya kumpata wetu inaendelea na niko na 32 ,yeye,25., Punguza stress piga zoezi Mungu hawezi kutupa Amini tu.