Nimekata tamaa ya kupata Mtoto

Nimekata tamaa ya kupata Mtoto

Miaka 27 una stress za watoto? Sikulaumu sana ila bado umri unasogea vyema muombe Allah atakufanyia wepesi

Mimi katika umri huo nlikuwa hata sijui nitaoa lini

Nakupa njia hii hapa ni 100%vbi idhin llah km ww ni muislamu

Istighfar will open the doors that have been closed till today. Wealth and children come from Allah and it is in turning to Him that we will get them, not in turning away from Him.

Istighfar sheikh wangu

Kama unaweza kwa siku hata x 2000 au 3000 hata elfu 5000

Haimalizi hata lisaaaa

Astaghfurullah.
 
Habari za wakati huu,

Wakuu naomba angalau msaada wa mawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya.

Mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye ana mtoto aliyempata akiwa secondary. Tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumeshatumia dawa mbalimbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo.

Lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alishawahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani, na alikua anasumbuliwa na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumeshatafuta mitishamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

Kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu, naomba kama kuna watu wameshapitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo.
Mimba sio ufundi,wewe fanya kama jokes wala usiweke.akilini,Kazi ya uumbaji ni Mungu, tulia piga maisha ya kawaida na show zako ziwe simple na uwe unajipa muda tarehe zikikaribia walau wiki moja unapumzika kisubiri right time ili mbegu zikomae vizuri,hayo mambo hayana Mayele ni Kazi ya Mungu
 
Tafuta ovalation test na ujifunze kuhesabu siku za kushika mimba mkeo apime kama mayai yanapevuka na kama hayapevuki atumie dawa atakuwa sawa.
 
Bado mdogo sana kuwa na stress za hivyo mkuu. Relax piga zoezi mdogo msogo ujisahaulishe usimsumbue sana mkeo kwa maneno anaweza beba ya mtu mwingine akasingizia ni wako ili tu kukupoza
Watu bwana mnachukulia simple eti mdogo sasa mlitaka azalishe akiwa na miaka hamsini?
 
Back
Top Bottom