Sawa.Yaap alizaa akiwa na 17 kasoro miezi 5 afike eighteen
Mimba sio ufundi,wewe fanya kama jokes wala usiweke.akilini,Kazi ya uumbaji ni Mungu, tulia piga maisha ya kawaida na show zako ziwe simple na uwe unajipa muda tarehe zikikaribia walau wiki moja unapumzika kisubiri right time ili mbegu zikomae vizuri,hayo mambo hayana Mayele ni Kazi ya MunguHabari za wakati huu,
Wakuu naomba angalau msaada wa mawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya.
Mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye ana mtoto aliyempata akiwa secondary. Tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumeshatumia dawa mbalimbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo.
Lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alishawahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani, na alikua anasumbuliwa na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumeshatafuta mitishamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.
Kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu, naomba kama kuna watu wameshapitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo.
mnatumiaje dawa wakati hamna tatizo?tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumeshatumia dawa mbalimbali
Watu bwana mnachukulia simple eti mdogo sasa mlitaka azalishe akiwa na miaka hamsini?Bado mdogo sana kuwa na stress za hivyo mkuu. Relax piga zoezi mdogo msogo ujisahaulishe usimsumbue sana mkeo kwa maneno anaweza beba ya mtu mwingine akasingizia ni wako ili tu kukupoza
Yes God first lkn lazima aongeze maarifa kuishi na mwanamke 3 years bila kutungisha mimba sio jambo dogoMiaka 27 bado sana, unaweza kupata mtoto wa kwanza ukiwa na miaka 37.
Mwamini Mungu, anaweza.
Ni hatar sanaWatu bwana mnachukulia simple eti mdogo sasa mlitaka azalishe akiwa na miaka hamsini?