DOKEZO Nimekata tiketi VIP basi la Happy Nation, lakini halina huduma hadhi ya VIP. Naweza kulalamika wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Baaasi shida ipo kwenye kabila na aina ya ticket ulokata kwa nini huwa mnapenda kujikweza?
Wew ndo una matatizo...

Na akili hiz ndo zinatufanya Tanzania tuwe maskini wa kutupwa hadi leo..

Na sioni kama tutaendelea soon
 
Kama shabiby wapo route hiyo ungepanda hao wengine ni wababaishaji
 
Bongo utapeli kila sehem.
 
Bm pia sandhill tatizo, unalipa nauki ya Dar Moshi 45k bus la luxury but unapandishwa mkweche
 
Serikali naomba waondowe utararibu wa gari kusqfuri usiku, gari zisafiri kama zamani, madereva nao ni binadamu wanasinzia
Acha upuuzi..dereva wa usiku snalala mchana, hunawahi sikia ata viwandani na hospitalini lna shift za usiku na mchana
 
Kwa hapa Tanzania,heri Shabiby anajitahidi
Hata kama hatoi huduma zote ila angalau gari lake ndani seat ni pana
1×2,,upande wa seat mbili Kuna nafasi na zimetenganishwa , kiasi kwamba jirani Yako hawezi kukubugudhi

Free wifi ni kwa ajili ya movies tu walizirecommend..iwe utatumia simu Yako, ama Tablet yao
Utaangalia movies tu walizoziweka mule,na vinyimbonyimbo,,nje na hapo hakuna kingine.



Vip nyingine usijikoroge kutupa pesa,
Hakuna chochote cha maana.
ABC wanaojiita VIP, labda choo na AC ..seat zimebanana hovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nia yako ulikua unye ndani ya gari! Konda alikusoma mapema Sana ndio maana akafunga choo. Magufuli alisemaje kuhusu kunya?
 
Happy Nation ni mabasi ya hovyo. Unakata basi unaambiwa jipya namba E unaletewa mkangafu basi limechoka halitamaniki halafu bovu. Halafu wana kiburi hawajali. Nadhani wamekua kwa haraka sana na wameelemewa.
 
kwan vip lina huduma gani kwan mpaka useme hakuna tz nzima


msikariri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…