Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Siongezi neno.Kila mwezi huwa nalipa 2000, ya uzoaji Taka, sababu kazi wanayofanya inaonekana, kila wiki hupita na gari lao kukusanya taka.
Si sawa kupingana na walio wengi, katika mtaa wako, hata kamaa kuna mahala hawako sawa (hii ndio busara).
Ndio unahoja ya msingi unataka risiti za EFD, lakini ulitakiwa kwanza kutoa ushirikiano lipa kiasi husika, Then fuatilia serikali za mtaa kupata udadanuzi au mwongozo kwanini hujapewa risiti unayohitaji.
Kila mwezi huwa nalipa 2000, ya uzoaji Taka, sababu kazi wanayofanya inaonekana, kila wiki hupita na gari lao kukusanya taka.
Si sawa kupingana na walio wengi, katika mtaa wako, hata kamaa kuna mahala hawako sawa (hii ndio busara).
Ndio unahoja ya msingi unataka risiti za EFD, lakini ulitakiwa kwanza kutoa ushirikiano lipa kiasi husika, Then fuatilia serikali za mtaa kupata ufafanuzi au mwongozo kwanini hujapewa risiti unayohitaji.
Hawashindwi kukutumia Immigration
Nchi masikini ukihoji haki yako aidha wanakuuwa au utawekwa ndani kwa kosa la kutunga au utaambiwa Mrundi
Umeanza kuwa fundamentalist sugu.Kufuata sana mstari bila kuchanganya za ziada utaonekana a bit gone nut.Sorry!Unajua Sheria inasemaje au unanishauri Kwa muono wako?
Kwa hîyo wewe Maisha yako yanaongozwa Kwa kuangalia wengi wàpo upande gàni yàani wewe NI fuata mkumbo hata kama unaona Jambo siô Sahihi?
Swali kwani unatumia huduma za ulinzi na kuzolewa taka?
Mkuu kwa mtaani ni kutumia busara tu! Hiyo ni pesa ndogo mno isikufanye kugombana nao,ukiona vema wape!
Lakini kwa kuwa umelianzisha acha liishe kama ulivyolianzisha.
Umeanza kuwa fundamentalist sugu.Kufuata sana mstari bila kuchanganya za ziada utaonekana a bit gone nut.Sorry!
Ndivyo walivyo walishazoea wiziLeo nimegusa kamba ya Ulaji ya Moisemusajiografii ñàona amenimaindi mno
Andaa wakili wako, watakupeleka court.
Serikali za mitaa Wana hakimu wao kabisa, unahukumiwa, direct jela.
Jipange.
Stanford University Alumni.Waambie TRA Tanzania huo ujûmbe wako siô Mimi.
Comment yako inaweza kûtumika popote hata mahakamani kama ushahidi WA Kwa nini nchi yetu NI Maskini.
Sina hakika na Elimu yako
Local government mkuu.. twende nao kilokolokoMwendokasi nauli 750 na wanatumia machine.
Maegesho Tsh 500 Mpaka 1000 Kwa lisaa na wanatumia machine
Stanford University Alumni.
Aerospace Nuclear and plutonium engineering .
Local government mkuu.. twende nao kilokoloko
Takataka unatupa wapi ?!Situmii
Takataka unatupa wapi ?!