Nimekataa kulipa Pesa ya Taka na ulinzi kama hawatanipa risiti za EFD. Nimepewa barua ya wito serikali za mitaa

Nimekataa kulipa Pesa ya Taka na ulinzi kama hawatanipa risiti za EFD. Nimepewa barua ya wito serikali za mitaa

Kila mwezi huwa nalipa 2000, ya uzoaji Taka, sababu kazi wanayofanya inaonekana, kila wiki hupita na gari lao kukusanya taka.

Si sawa kupingana na walio wengi, katika mtaa wako, hata kamaa kuna mahala hawako sawa (hii ndio busara).

Ndio unahoja ya msingi unataka risiti za EFD, lakini ulitakiwa kwanza kutoa ushirikiano lipa kiasi husika, Then fuatilia serikali za mtaa kupata udadanuzi au mwongozo kwanini hujapewa risiti unayohitaji.
Siongezi neno.
 
Kila mwezi huwa nalipa 2000, ya uzoaji Taka, sababu kazi wanayofanya inaonekana, kila wiki hupita na gari lao kukusanya taka.

Si sawa kupingana na walio wengi, katika mtaa wako, hata kamaa kuna mahala hawako sawa (hii ndio busara).

Ndio unahoja ya msingi unataka risiti za EFD, lakini ulitakiwa kwanza kutoa ushirikiano lipa kiasi husika, Then fuatilia serikali za mtaa kupata ufafanuzi au mwongozo kwanini hujapewa risiti unayohitaji.

Unajua Sheria inasemaje au unanishauri Kwa muono wako?

Kwa hîyo wewe Maisha yako yanaongozwa Kwa kuangalia wengi wàpo upande gàni yàani wewe NI fuata mkumbo hata kama unaona Jambo siô Sahihi?
 
Unajua Sheria inasemaje au unanishauri Kwa muono wako?

Kwa hîyo wewe Maisha yako yanaongozwa Kwa kuangalia wengi wàpo upande gàni yàani wewe NI fuata mkumbo hata kama unaona Jambo siô Sahihi?
Umeanza kuwa fundamentalist sugu.Kufuata sana mstari bila kuchanganya za ziada utaonekana a bit gone nut.Sorry!
 
Back
Top Bottom