Nimekataa kulipa Pesa ya Taka na ulinzi kama hawatanipa risiti za EFD. Nimepewa barua ya wito serikali za mitaa

Huwa wanazitoa kabisa, wanakua na hizo risiti kibwena.
Ukilipa risiti yako inaandikwa jina kwa mkono pale juu..

Hiyo kua na mashine moja wala sio excuse.

Unadhani kwenye masoko huwa wanadanyaje?? Njia ni hiyo hiyo, zikibaki na wewe mtumishi sio mjanja zitakudodea.
 
Uko sahihi binafsi namshangaa mleta mada
Mambo ya ulinzi na kuzoa taka mitaani sio mambo ya TRA hayo

Mtu aweza soma lakini akawa mpumbavu aishiye mtaani.Wanajua ana akili huko kazini kwake lakini mtaani ni hopeless kabisa Sababu unakuta hahudhurii hata vikao vya serikali ya mtaa vikiitishwa yeye ni ndani ya nyumba yake tu na kwenye gari kwenda kazini na kurudi tu ndani ya nyumba

Hajui kinachoendelea mtaani na hajui hata kazi ya serikali ya mtaa ni nini?
 

Hiyo ibaki kuwa changamoto Kwa serikali
 
Ukitoa huduma toa risiti.
Ukipata huduma dai risiti.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Nyie watibeli wabishi sana tatizo 😂👊🏾
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…