Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Huwa wanazitoa kabisa, wanakua na hizo risiti kibwena.Rob Pole na changamoto, kimsingi una haki ya kudai risiti ya efd kwenye taka kwa sababu kampuni zinazozoa zinatakiwa kuwa na efd machine, ulinzi mtaani hawana efd sijajua upo mkoa gani ila pia ipo shida kubwa ya upatikanaji wa hizo efd machine, imagine kata ina mitaa labda 7 ina efd moja, mara mtandao upo down, mara imeharibika na mengine mengi
Mjinga mpe cheo rob
Kuna tofauti ya TRA na serikali za mitaaTRA Tanzania nashawishiwa huku kinguvu nisidai risiti halali
Uko sahihi binafsi namshangaa mleta madaKila mwezi huwa nalipa 2000, ya uzoaji Taka, sababu kazi wanayofanya inaonekana, kila wiki hupita na gari lao kukusanya taka.
Si sawa kupingana na walio wengi, katika mtaa wako, hata kamaa kuna mahala hawako sawa (hii ndio busara).
Ndio unahoja ya msingi unataka risiti za EFD, lakini ulitakiwa kwanza kutoa ushirikiano lipa kiasi husika, Then fuatilia serikali za mtaa kupata ufafanuzi au mwongozo kwanini hujapewa risiti unayohitaji.
Fresh tu mi mwenyewe mbili kasoroboUjiandae pia na sokomoko
Kuna tofauti ya TRA na serikali za mitaa
Hizo wanasanya ni pesa za hamashauri sio TRA
Haziendi TRA hizo
Rob Pole na changamoto, kimsingi una haki ya kudai risiti ya efd kwenye taka kwa sababu kampuni zinazozoa zinatakiwa kuwa na efd machine, ulinzi mtaani hawana efd sijajua upo mkoa gani ila pia ipo shida kubwa ya upatikanaji wa hizo efd machine, imagine kata ina mitaa labda 7 ina efd moja, mara mtandao upo down, mara imeharibika na mengine mengi
Mjinga mpe cheo rob
Na vyoo vya public vina risiti hadi za shs 300/=Mbona za parking zinaanzia buku na wanatoa risiti?
😅Andaa wakili wako, watakupeleka court.
Serikali za mitaa Wana hakimu wao kabisa, unahukumiwa, direct jela.
Jipange.
Una nguvu usije kupigwa na mambo😃😃😃Umenipa deal ya kwenda kuanzisha utata kitaani.