Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Sasa mbona watukana nchi yetu pendwa we chalii?Hizi bank zinatupelekesha zinavyotaka yani hawajali chochote. Wakiamua kupandisha transaction fee wapandisha tu wanavyojua. BOT kama regulatory body nao wamechill tu wavuja jasho tunaumia.
Hii nchi ni Shenzistan.
Mimi ndio nimeandika mada na nimeonesha mgawanyo pale juu kwenye post.Ndio hivyo kapata statement kwani haionyeshi mchanganuo wa hayo makato ya 5,000?
ShitWapi statement iliposema tozo ndio 5,000? Tozo ni 800 tuu..
Ni ajabu watu kulalamika tozo ndogo wakati makato ya makampuni ni makubwa mno..
Hata miamala ya simu makato ya kampuni za simu ni kubwa karibu mara 2 ya tozo za serikali sasa sijawahi elewa Kwa nini Serikali inalalamikiwa.
Ni sawa na kutumia ATM ya Bank ingineKama hujaelewa ni kwamba kufanya muamala la kwenda nje ya taasisi husika..
Kama unabisha tuma pesa hapa kutoka mtandao wako wa simu kwenda mtandao tofauti uone moto.
10%Nilikuwa sijawahi kutumia hii huduma lakini sasa nilijaribu wiki mbili zilizopita na sikuangalia salio. Muda huu nimepata bank statement kwenye email ndio naona hayo makato.
5300 (NMB 4491.53 na Vat 808.47) imenishangaza kukatwa zaidi ya asilimia 10 ya fedha niliyohamisha.
Hongereni sana NMB Tanzania
Kila muamala nasikia ni 5,000 iwe unstoa, unauliza Salio. Ukiweka tu kadi unakatwaATM nasikia nako wameongeza makato maradufu.
Suluhisho ni uchaguzi mkuu 2025ATM nasikia nako wameongeza makato maradufu.
"Oli tumpafu, kama una hela nyingi nitumie 50,000 PM nna njaa, ebo! [emoji34]" Aliskika mlevi mmoja huku akiyumbayumbaBinadamu wote siyo sawa. Yani iyo shilingi 5,300 unaona nyingiiiii. Mara ya kwanza niliposoma nilidhani umeandika umekatwa 5.3 millions kuhamisha Billion 5.
Ili mtuvamie mzichukueTuwekeni hela ndani tuanzishe hashtag #weka hela ndani kimbia makato ya kinyonyaji#
Pole,mimi pia walishawahi kunijeruhi.Sina hamu nao....last week kuna staff mate alitaka kumtumia mdogo wake laki 5 nmb mobile to mpesa..nilimtahadharisha...Nilikuwa sijawahi kutumia hii huduma lakini sasa nilijaribu wiki mbili zilizopita na sikuangalia salio. Muda huu nimepata bank statement kwenye email ndio naona hayo makato.
5300 (NMB 4491.53 na Vat 808.47) imenishangaza kukatwa zaidi ya asilimia 10 ya fedha niliyohamisha.
Hongereni sana NMB Tanzania