Nimekoma walahi! Pilau la buku nimelinunua kwa 32,000 za dripu mbili

Nimekoma walahi! Pilau la buku nimelinunua kwa 32,000 za dripu mbili

Hali hii leo mbona kazi ipo!

Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.

Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.

Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea

Dua zenu wazee
Pole sana, kwa kula kinyesi!
Ila una bahati, ungeanza kutapika na maji kuisha mwilini, imgekuwa pindu pindu.
Na tumpeleke tumpeleke isingekuwa mbali.
 
Sitosahau wiki 4 nyuma nimetoka zangu kazin nikasema nikajipatie zangu mishkak nafika pale 200 bhs ninogewa nikala km ya 4k😅,kesho yake usk aseh nilikoma nilihara km mbwa mwizi hadi nikaishiwa nguvu nilitapika km paka shume wa bar mweee hadi nikataman kulala chin kwamaan niliona nikilala katka sehem barid ndio km napata unafuu hiv nikajikongoja had katka tairizi huku machoz yakitoka toka siku ile sehem niliyokula sijafika tena kwanz napaogopa km ukoma😅
 
Hali hii leo mbona kazi ipo!

Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.

Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.

Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea

Dua zenu wazee
Mshtuko wa tumbo tuu wee unaonyesha huajawahi kula mchana😆
 
🤣🤣🤣🤣 Madako yako mfyuuu.!!
Nimecheka yani bando la vijora vyangu MELIA napata kashata.?!! 😭😹😹😹

Nimelia sana 🤣
Melia brand kubwa kijana utakufa kibudu.. jitutumue tukuzike kulekule kiwengwa 😂
 
🤣🤣🤣 mtaji wenyewe laki si tutarudi kwa kuogolea mpk posta 😹

Huyo mume dada hapana ana gubu achana naye, mzaramo mwenzetu hatuwezani naye..!😂😂
Mmmh kweli huyu mzaramo mwenzetu katuweza🤣
 
Back
Top Bottom