Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana, kwa kula kinyesi!Hali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
We mke wa boss wangu Countrywide usinichonganishe🙂↕️🙂↕️Lamomy Hana jeuri ya kulipa usiku mmoja milion na ushee. Akiwa nao namuoa mke wa pili. Mnakuwa wawili.. hana jeuri hiyo
🤣🤣🤣 Bora vikunai kuliko huko mbagala kuu.!🤣🤣🤣🤣eeeh mbagala kuu jamani hapana basi iwe hata Vikunai
😹😹😹 Wewe tenah dadaBasi kama mtaa ndio ule wewe ni wangu wa kufa na kuzikana,napanga begi nguo nakuja muda huu huu
🤣🤣🤣🤣 Madako yako mfyuuu.!!Ataweza bei za melia huyu? Vijora bando zima pale anapata kashata tu
🙃😺We mke wa boss wangu Countrywide usinichonganishe🙂↕️🙂↕️
Mshtuko wa tumbo tuu wee unaonyesha huajawahi kula mchana😆Hali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Melia brand kubwa kijana utakufa kibudu.. jitutumue tukuzike kulekule kiwengwa 😂🤣🤣🤣🤣 Madako yako mfyuuu.!!
Nimecheka yani bando la vijora vyangu MELIA napata kashata.?!! 😭😹😹😹
Nimelia sana 🤣
Na mm sitaki mke wa pili nishaghairWewe una tamaa kwahiyo unatafuta mwanamke mwenye pesa? 😹😹😹
Jeuri ninayo ila sikutaki. Hapo vipi? 🤣🤣
Mambo ya Dasalaam hayo...Zipo mkuu zunguka ujionee. Ugali mm nakulaga wa buku tu na una mboga nne. Nahisi anapata faida kama 200 kila sahan yule
DSM kubwa sana wazee... nashangaa watu wanalalama maisha magum wakati msosi had buku flesh kabisaMambo ya Dasalaam hayo...
Mmmh kweli huyu mzaramo mwenzetu katuweza🤣🤣🤣🤣 mtaji wenyewe laki si tutarudi kwa kuogolea mpk posta 😹
Huyo mume dada hapana ana gubu achana naye, mzaramo mwenzetu hatuwezani naye..!😂😂
Uza plot yenu ya urithi shem tukaitumie Melia bas 😹Melia brand kubwa kijana utakufa kibudu.. jitutumue tukuzike kulekule kiwengwa 😂