Mwezeshaji1
Member
- Sep 26, 2023
- 69
- 124
Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Eeh tengeneza hips mama, hatutaki vitu vyembambaAcha tu mkuu..
Yaani I miss my old me jamani daah !
Jiachie kula,utanenepa tuIam happy for you mwaya.
Hopefully I will regain my weight too
Yamekua hayo🤣Eeh tengeneza hips mama, hatutaki vitu vyembamba
Kuna wanaopenda bwana😅😅Yamekua hayo🤣
Kuna connection gani mkuu 🤣
Asante kwa ushauri mkuu.Kula unachojisikia, achana na ratiba ya wali nyama etc.
Kunywa maziwa kila asubuhi nusu lita
Baada ya chakula tafuna cheese (tafuta cheddar cheese), itasaidia kujaza tumbo. Vumilia ladha.
Nilifanya haya kuongeza uzito
Hapana.umemsikiliza professa Janabi?
Hayo magonjwa yote yamepona mkuu kasoro ACID REFLUX,huo ninao toka niko mtoto,hauna tiba so far. Haujawahi kunikondesha.Msaada: Mgongo unauma, ganzi nyayoni/viganjani, homa na kukosa hamu ya kula
EID MUBARAQ Ndugu zangu ninaumwa na hospital nishaenda mara mbili na dawa natumia ila nafuu hakuna.So nimeona nije na kwenu labda kuna mtaalam huku akanipa neno/ushauri wakuniponya Nilifanya vipimo nikaonekana na *excesive bowel gas, *PID *Polycystic ovarian syndrome. NB:3 yrs ago mgongo...www.jamiiforums.com
queenkami haya magonjwa hapa mbona yanawezekana kukuletea uzito kupungua, Je umeshayapatia matibabu-ukapon
Mkuu vipi tenaEeh tengeneza hips mama, hatutaki vitu vyembamba
Amen dearest.Jiachie kula,utanenepa tu
Poa mkuu!Mkuu vipi tena
Mmh sawaHahah huwa zinakimbilia huko tu na kufanya ngozi kuwa soft...
Sawa bwana🤣Kuna wanaopenda bwana😅😅
Hahahahahah I'll wee mzee eti kiti motoFanya diet ya kitimoto wiki mbili Tu na tako litafumuka.
By the way viazi ulaya na nyama ni nzuri Sana ukipika pamoja na mboga za Majani pembeni.