Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Bila shaka itakuwa ni Zali la Mentali lakini ni vizuri na wewe ukajipanga maana kibao kinaweza kubadilika muda wowote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran sanaaa boss, umenipa ushauri wa kina. Kwel kuna mda najisikia low hasa tukijadili mipango ya mda mfupi ambayo mwishoni inataka pesa. Ila kuna mda anakuwa mzito nikimpatia ushauri zaidi kuhusu ujenzi.Una kitu tunaita inferiority complex, unajiona duni mbele yake kwa sababu amekuzid umri na uwezo kifedha. Wengi wetu, wanaume, hukosa ujasiri mbele ya mwanamke wa aina hiyo. Sababu kubwa ni tamanio la kimaumbile lililowekwa ndani yetu kumuongoza mwanamke na tunafikiri ili kuweza kufanya hivyo lazima uwe na pesa kumzidi na umri mkubwa kuliko yeye.
Pesa na umri ni catalyst lakini sio msingi wa hierarchy ya kiuongozi hasa kwenye mahusiano. Akili, ufahamu wa kutosha, maono na namna unavyojitazama ndo msingi. Kwa hiyo jitazame hapo, unaweza kuwa na umri mdogo kwa namba lakini ukawa na uwezo wa kufikiri na kutenda kwa uwezo mkubwa kulinganisha na vijana wa umri wako. Usijione duni, Jiamini, tafuta maarifa, kutana na watu sahihi and be a good man. Huyo mwanamke ana akili mnaweza kufanya maisha vizuri ukitulia.
Acha akili za kimaskini wewe ni MWANAUME Malizia nyumba hiyo, nunua kiwanja/viwanja jenga zingine, kama hutakua na amani kukaa hapo hakikisha unajenga kwingine hiyo mtapangisha mwanaume ndio mwenye maamuzi.Asante kwa ushaur boss. Na io nyumba vipi? Yan ni play kivipi hapo? Tuchangie nguvu tu au na pesa?
Exactly.lack of confidence among wanaume ni gonjea kubwa sana.
yaan ww hata mirrage affairs hutaweza ku handle kwa uwoga huu.
kua kwanza
Natumaini ni wazima wa afya na poleni na majukumu.
Niingie kwenye mada.
Mimi ni mwanaume nina miaka 24, najishughulisha na kazi binafsi Ila bado kipato changu sio kikubwa. Miezi michache iliyopita nilifanikiwa kuwa na mahusiano na binti mrembo na muonekano wake ni kama ana miaka 20 hivi.
Nilimueleza ya moyoni akanielewa saivi tupo kwenye mahusiano. Sikujua kumbe binti ana kazi nzuri ameajiriwa kaka yake na kipato kikubwa tu anapata. Miaka yake ni 26 Ila kimuonekano ni mdogo, juzi kanambia tuende mahali kumbe ni kununua materials ya kupeleka site, kumbe ana eneo na nyumba msingi umeanza.
Tukienda mahali hata pesa za manunuzi ananikabidhi na akiwa busy ananiomba nikasimamie mafundi. Nashindwa kuwa na ujasiri wa kuchangia ujenzi naomba ushauri halafu pia wakuu hili ni zali au nikimbie tu nimuache na projects zake.
😅😅 Ukikutana na mrembo ambae hujawai kumuona ndio yeye basi muombe namba. Kwenye kutafuta pesa io naongeza juhudi boss ila kwenye mimba anajielewa sanaa akiwa kwenye danger hata meeting na Mimi hataki anadai mtoto hadi ndoaSikia ndugu uyo binti nipe namba yake nimuulize kitu cha muhimu sana, anayway ni hivii fanya umpe ujauzito uyo alafu tafuta ela kwa nguvu zote bila ivyo utakuja kudhalilika pia jutahid usicheat akajua
Malengo nae yapo nampenda and she loves me io sifichi ndio mana hata pesa ya kazi anaweza nipa nifuate vitu na kusimamia nikiwa free. Sawàaa mkuu kwa busara, sasa nichangie pesa kidogo ninayo pata tukamilishe au nguvu tu na mawazo nimuache ajenge yeye pekee?Mkuu una malengo naye? kama ndiyo, basi akimaliza mkakaa hapo usiishi hiyo nyumba kwa muda mrefu mkuu, jipange mkioana mkaishi ulipojenga wewe hata kama ni nyumba ya mabati, usikae sana hapo kwake pakiisha, nimekukanya
Miezi michache iliyopita nilifanikiwa kuwa na mahusiano na binti mrembo na muonekano wake ni kama ana miaka 20 hivi.
Usiingize pesa kwenye mradi wa mwanamke, ungekuwa na ndoa naye sawa lkn sasa ukitoa iwe umempa tu kama sapoti ya kirafiki lkn usiweke pesa yako kama kitu chenu wote.Malengo nae yapo nampenda and she loves me io sifichi ndio mana hata pesa ya kazi anaweza nipa nifuate vitu na kusimamia nikiwa free. Sawàaa mkuu kwa busara, sasa nichangie pesa kidogo ninayo pata tukamilishe au nguvu tu na mawazo nimuache ajenge yeye pekee?
Ushaolewa ww...Natumaini ni wazima wa afya na poleni na majukumu.
Niingie kwenye mada.
Mimi ni mwanaume nina miaka 24, najishughulisha na kazi binafsi Ila bado kipato changu sio kikubwa. Miezi michache iliyopita nilifanikiwa kuwa na mahusiano na binti mrembo na muonekano wake ni kama ana miaka 20 hivi.
Nilimueleza ya moyoni akanielewa saivi tupo kwenye mahusiano. Sikujua kumbe binti ana kazi nzuri ameajiriwa na kaka yake na kipato kikubwa tu anapata. Miaka yake ni 26 Ila kimuonekano ni mdogo, juzi kanambia tuende mahali kumbe ni kununua materials ya kupeleka site, kumbe ana eneo na nyumba msingi umeanza.
Tukienda mahali hata pesa za manunuzi ananikabidhi na akiwa busy ananiomba nikasimamie mafundi. Nashindwa kuwa na ujasiri wa kuchangia ujenzi naomba ushauri halafu pia wakuu hili ni zali au nikimbie tu nimuache na projects zake.
sawa mkuu asante kweli nishikame Ila nisisahau kujiweka sawa pia🙏Kuchangia sio lazima materially, hata mawazo yako na kujitoa inaweza kuwa mchango mkubwa. Kikubwa shikamana...... tupilia mbali dramas, maisha ni haya haya and we only live once.
Alisema tupambane tukamilishe nyumba alafu tuanzishe familia ila Kuna mda vitu vidogo vinapelea na nipo karibu mafundi wakinicheki inakuwa mtihani kwamba nifix au nimwambie Ila kipato chake ni kikubwa Sanaa kufananisha na changu, ushauri wako ni mzuri asante boss.Umeombwa uchangie unasita ama unataka kujiongeza tu akuone muwajibikaji??