Nimekosa ujasiri kwenye hili

Nimekosa ujasiri kwenye hili

Hapo nmekuelewa kufanya jambo Kama kusaidia kirafiki kadri ya uwezo kwa kuamini watu wanabadilika. Naomba nkuelewe leo
Usiingize pesa kwenye mradi wa mwanamke, ungekuwa na ndoa naye sawa lkn sasa ukitoa iwe umempa tu kama sapoti ya kirafiki lkn usiweke pesa yako kama kitu chenu wote.

Waogope sana wanawake kwenye vitu vyao...ipo siku utanielewa
 
kuna mda anakuwa mzito nikimpatia ushauri zaidi kuhusu ujenzi.

Hio ni dalili kwamba anataka hio nyumba iwe yake peke ake na hataki mchango wako wowote.

Ushauri wa kwanza usichangie kitu coz bado hamjaoana.

Ushauri wa pili usiachane nae kisa unajiskia inferior. hilo ni tatizo lako sio lake. ukiachana nae kisa amekuzidi kiuwezo angali yeye amekukubali hivyohivyo utakua na matatizo ta self esteem.

Ushauri wa tatu nyumba ya pamoja mtajenga mkioana.

Ushauri wa nne akimaliza nyumba akikwambia ukakae nae usikatae. nenda kaishi nae umjue mapema tabia zake kabla hujatia nanga.
 
Shukran sanaaa boss, umenipa ushauri wa kina. Kwel kuna mda najisikia low hasa tukijadili mipango ya mda mfupi ambayo mwishoni inataka pesa. Ila kuna mda anakuwa mzito nikimpatia ushauri zaidi kuhusu ujenzi.
Karibu mkuu. Nakutakia kila la kheri ikibidi mfikie hatma nzuri ya kufunga ndoa na kujenga familia pamoja.
 
Nguvu na pesa. Jenga nyumba hio.
kweli mjuba

img_1_1610374747247.jpg
 
Pia akumbuke huyo ni mpenzi wake tu sio Mkewe.
Hivyo hicho kiwanja na Nyumba inayojengwa ni ya mwanamke.
Hata akiwa mke ukijenga kwenye kiwanja cha mkeo hiyo nyumba ni yake si yenu, utafute kiwanja mwanaume mjenge yenu na mkeo
 
Alisema tupambane tukamilishe nyumba alafu tuanzishe familia ila Kuna mda vitu vidogo vinapelea na nipo karibu mafundi wakinicheki inakuwa mtihani kwamba nifix au nimwambie Ila kipato chake ni kikubwa Sanaa kufananisha na changu, ushauri wako ni mzuri asante boss.
Anhaa kama ni ivo mkuu na kama mna malengo ni ishu ya makaratasi tu, akubali kuthihitisha kua nyumba ni yenu wote yaani asiandikie jina lake peke ake. La sivyo basi anataka kukutumia kama ngazi.
 
Anhaa kama ni ivo mkuu na kama mna malengo ni ishu ya makaratasi tu, akubali kuthihitisha kua nyumba ni yenu wote yaani asiandikie jina lake peke ake. La sivyo basi anataka kukutumia kama ngazi.
Sawaa boss, asante kwa ushauri mzuri
 
Mkuu usiweke hata 50 yako hapo! Wewe jenga kwako kama kuoana aje kwako...enda uweke pesa yako hapo halafu utakuja utuambie mwanaume ndie kichwa!utapelekeshwa ubaki kichwa tu...au aje aolewe kwingine utaenda ubomoe?
 
Mkuu usiweke hata 50 yako hapo! Wewe jenga kwako kama kuoana aje kwako...enda uweke pesa yako hapo halafu utakuja utuambie mwanaume ndie kichwa!utapelekeshwa ubaki kichwa tu...au aje aolewe kwingine utaenda ubomoe?
Hapana mkuu kubomoa kesi😀 labda niichome moto bahati mbayaa. Ila ushauri wako nimeupokea
 
Jichanganye uone litakuwa tusi mbeleni."au ndo kilaki chako kile ulichochangia?,sema nikurudishie!?!
Mbona unanininyima raha dear?😀 umenifuata mpaka huku. Usirudishe please tujenge tu.
 
Natumaini ni wazima wa afya na poleni na majukumu.

Niingie kwenye mada.

Mimi ni mwanaume nina miaka 24, najishughulisha na kazi binafsi Ila bado kipato changu sio kikubwa. Miezi michache iliyopita nilifanikiwa kuwa na mahusiano na binti mrembo na muonekano wake ni kama ana miaka 20 hivi.

Nilimueleza ya moyoni akanielewa saivi tupo kwenye mahusiano. Sikujua kumbe binti ana kazi nzuri ameajiriwa na kaka yake na kipato kikubwa tu anapata. Miaka yake ni 26 Ila kimuonekano ni mdogo, juzi kanambia tuende mahali kumbe ni kununua materials ya kupeleka site, kumbe ana eneo na nyumba msingi umeanza.

Tukienda mahali hata pesa za manunuzi ananikabidhi na akiwa busy ananiomba nikasimamie mafundi. Nashindwa kuwa na ujasiri wa kuchangia ujenzi naomba ushauri halafu pia wakuu hili ni zali au nikimbie tu nimuache na projects zake.
Chai ya baridi sanaaa hii
 
Usichangie ujenzi kwenye kiwanja cha mwanamke na hampo kwenye ndoa. Kama mpo kwenye ndoa sawa iyo mali ni yenu ata itokee mmegombana nyumba sio yake wala yako niya ndoa maana mmeichuma pamoja . Busara zingine za kimahakama zitatumika kingawanyo.
 
Kwan amekuambia hiyooo nyumba ni ya kwake ?
Kama na yy kapewa asimamie?
 
Ushauri wangu kuwa naye kwenye mahusiano ila jenga kwako kaka yaani alipojenga yeye wewe isikuumize sana. Usi entertain ujenzi wake wewe fanya na pambana na maisha yako.

Duniani wazungu wengi wapo hivi ila every one hustles. Yaani bills on your own.
 
Ninaona bado ni hatua za mwanzoni za mapenzi usiji-attach naye hivyo. Muache aendelee na projects zake. Mkiwa wachumba prelude to marriage mnaweza mkashiriki kwa pamoja kwenye projects.
 
Back
Top Bottom