Nimekosa ujasiri kwenye hili

Nimekosa ujasiri kwenye hili

Gepard

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2021
Posts
291
Reaction score
385
Natumaini ni wazima wa afya na poleni na majukumu.

Niingie kwenye mada.

Mimi ni mwanaume nina miaka 24, najishughulisha na kazi binafsi Ila bado kipato changu sio kikubwa. Miezi michache iliyopita nilifanikiwa kuwa na mahusiano na binti mrembo na muonekano wake ni kama ana miaka 20 hivi.

Nilimueleza ya moyoni akanielewa saivi tupo kwenye mahusiano. Sikujua kumbe binti ana kazi nzuri ameajiriwa na kaka yake na kipato kikubwa tu anapata. Miaka yake ni 26 Ila kimuonekano ni mdogo, juzi kanambia tuende mahali kumbe ni kununua materials ya kupeleka site, kumbe ana eneo na nyumba msingi umeanza.

Tukienda mahali hata pesa za manunuzi ananikabidhi na akiwa busy ananiomba nikasimamie mafundi. Nashindwa kuwa na ujasiri wa kuchangia ujenzi naomba ushauri halafu pia wakuu hili ni zali au nikimbie tu nimuache na projects zake.
 
Sikia ndugu uyo binti nipe namba yake nimuulize kitu cha muhimu sana, anayway ni hivii fanya umpe ujauzito uyo alafu tafuta ela kwa nguvu zote bila ivyo utakuja kudhalilika pia jutahid usicheat akajua
 
Natumamini ni wazima wa afya na poleni na majukumu. Niingie kwenye mada. Mimi ni mwanaume nina miaka 24, najishughulisha na kazi binafsi Ila bado kipato changu sio kikubwa. Miezi michache iliopita nilifanikiwa kuwa na mahusiano na binti mrembo na muonekano wake ni Kama ana miaka 20 hivi. Nlimueleza ya moyoni akanielewa saivi tupo kwenye mahusiano. sikujua kumbe binti ana kazi nzuri ameajiriwa kaka yake na kipato kikubwa tu anapata. Miaka yake ni 26 Ila kimuonekano ni mdogo, juzi kanambia tuende mahali kumbe ni kununua materials ya kupeleka site, kumbe ana eneo na nyumba msingi umeanza. Tukienda mahali hata pesa za manunuz ananikabidhi na akiwa busy ananiomba nikasimamie mafundi. Nashindwa kuwa na ujasiri wa kuchangia ujenzi naomba ushauri alafu pia wakuu hili ni zali au nikimbie tu nimuache na projects zake.
Una kitu tunaita inferiority complex, unajiona duni mbele yake kwa sababu amekuzid umri na uwezo kifedha. Wengi wetu, wanaume, hukosa ujasiri mbele ya mwanamke wa aina hiyo. Sababu kubwa ni tamanio la kimaumbile lililowekwa ndani yetu kumuongoza mwanamke na tunafikiri ili kuweza kufanya hivyo lazima uwe na pesa kumzidi na umri mkubwa kuliko yeye.

Pesa na umri ni catalyst lakini sio msingi wa hierarchy ya kiuongozi hasa kwenye mahusiano. Akili, ufahamu wa kutosha, maono na namna unavyojitazama ndo msingi. Kwa hiyo jitazame hapo, unaweza kuwa na umri mdogo kwa namba lakini ukawa na uwezo wa kufikiri na kutenda kwa uwezo mkubwa kulinganisha na vijana wa umri wako. Usijione duni, Jiamini, tafuta maarifa, kutana na watu sahihi and be a good man. Huyo mwanamke ana akili mnaweza kufanya maisha vizuri ukitulia.
 
Natumamini ni wazima wa afya na poleni na majukumu. Niingie kwenye mada. Mimi ni mwanaume nina miaka 24, najishughulisha na kazi binafsi Ila bado kipato changu sio kikubwa. Miezi michache iliopita nilifanikiwa kuwa na mahusiano na binti mrembo na muonekano wake ni Kama ana miaka 20 hivi. Nlimueleza ya moyoni akanielewa saivi tupo kwenye mahusiano. sikujua kumbe binti ana kazi nzuri ameajiriwa kaka yake na kipato kikubwa tu anapata. Miaka yake ni 26 Ila kimuonekano ni mdogo, juzi kanambia tuende mahali kumbe ni kununua materials ya kupeleka site, kumbe ana eneo na nyumba msingi umeanza. Tukienda mahali hata pesa za manunuz ananikabidhi na akiwa busy ananiomba nikasimamie mafundi. Nashindwa kuwa na ujasiri wa kuchangia ujenzi naomba ushauri alafu pia wakuu hili ni zali au nikimbie tu nimuache na projects zake.
lack of confidence among wanaume ni gonjea kubwa sana.
yaan ww hata mirrage affairs hutaweza ku handle kwa uwoga huu.


kua kwanza
 
Mkuu una malengo naye? kama ndiyo, basi akimaliza mkakaa hapo usiishi hiyo nyumba kwa muda mrefu mkuu, jipange mkioana mkaishi ulipojenga wewe hata kama ni nyumba ya mabati, usikae sana hapo kwake pakiisha, nimekukanya
Yaan hapa ndo mnamtia uoga mtoa mada,,me naona iko sawa kama demu anampenda yeye aendelee tu,tena kama ingekuwa mm naandaa na mabegi ya kuhamia kwa demu akimaliza ujenzi[emoji23]..Yaan hapo yeye aanze kujijenga mwenyewe pembeni ikiwezekana na ka ujenzi pembeni taratibu bila demu kujua,,siku pakinuka basi taratibu anajongea kwake,huwezi jua inawezekana demu akawa funguo kwa jamaa kutoboa kirahisi!
 
Changia ujenzi saidia kazi hayo ndo mapenzi, ila pambana ujenge yako pia cha mwanamke ni cha mwanamke na ulichompa mwanamke si chako ni chake
Sawaa mkuu nmekuelewa ila sasa yeye anakasi sana ya kaz mimi inawezekana hata kwa week cement nisinunue Ila kazi ya kusafisha uwanja na kupanda miti napiga mbaya
 
Back
Top Bottom