MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpk ukampasua hilo jicho hukutumia KY?Mkuu, mtu akiamua kuacha tu jambo lipite haimaanishi hana cha kufanya. Miaka ya nyuma kabisa nilikuwa sitaki upuuzi kabisa. Niliwahi kumpasua jicho mtu sababu alinisumbua kunilipa. Nilishatia watu hasara sababu nawadai. Niliishia kufungwa tu. Niliamua kubadilika na kuwa mtu wa tofauti ila kumbe dunia haitaki watu wa aina ambayo nimekuwa mimi. Napotezea, sihitaji kurudi kule mkuu. Nimeamua kutosaidia mtu tu kivyovyote vile.
Tajiri wewe unadai pesa ngapi mpk sasa kwa marafikj?Huyo sio rafiki ako, alafu ondoa mentality ya kwamba ukiwa unamdai mtu ni kama unammiliki yeye mzima,kwamba inabid ajieleze asipopatkana,apokee simu yako,awe mpole et tu kwasababu ya wewe unamdai, wewe ukiona hakupi ushirikiano jua anamambo yake na yeye binafsi yamekwamisha sio lazma aanze kujielezea.
Endelea na mipango mingine, siku akipata ataleta hata ikipita mwaka, la pendekeza kumtumia sms kwamba kama mambo hayajakaa sawa asijal itanipa ukipata, alafu unaleta story zingine za maisha.
Hîi tabia ya kujifanya kupunguza marafiki ,kwa kuona wanashindwa kulipa kwa wakati , na kuwaona waswahili ni tabia ya umaskini sana, wenye akili za kitajiri hawana kabisa hii.
...Wewe ni Mkopaji ??...Ndio Unavyofanyaga Ukiisha Kopa ?? ACHA...!Huyo sio rafiki ako, alafu ondoa mentality ya kwamba ukiwa unamdai mtu ni kama unammiliki yeye mzima,kwamba inabid ajieleze asipopatkana,apokee simu yako,awe mpole et tu kwasababu ya wewe unamdai, wewe ukiona hakupi ushirikiano jua anamambo yake na yeye binafsi yamekwamisha sio lazma aanze kujielezea.
Endelea na mipango mingine, siku akipata ataleta hata ikipita mwaka, la pendekeza kumtumia sms kwamba kama mambo hayajakaa sawa asijal itanipa ukipata, alafu unaleta story zingine za maisha.
Hîi tabia ya kujifanya kupunguza marafiki ,kwa kuona wanashindwa kulipa kwa wakati , na kuwaona waswahili ni tabia ya umaskini sana, wenye akili za kitajiri hawana kabisa hii.
This is the best thing japo wanafiki wataona una roho mbayaMi nishaacha kukopesha rafiki labda aache bond kitu
Maskini,hiyo imeenda broDah! Usinikumbushe mkuu,
Uyu jamaa Hapa chini ananisumbua balaa [emoji29][emoji116]View attachment 2851883
Achana nae huyo kakosa shukraniMkuu, mtu akiamua kuacha tu jambo lipite haimaanishi hana cha kufanya. Miaka ya nyuma kabisa nilikuwa sitaki upuuzi kabisa. Niliwahi kumpasua jicho mtu sababu alinisumbua kunilipa. Nilishatia watu hasara sababu nawadai. Niliishia kufungwa tu. Niliamua kubadilika na kuwa mtu wa tofauti ila kumbe dunia haitaki watu wa aina ambayo nimekuwa mimi. Napotezea, sihitaji kurudi kule mkuu. Nimeamua kutosaidia mtu tu kivyovyote vile.
Wewe utakua wale wadhulumaji wasio penda kulipa madeni ya watu sio kwa kauli zako hizo,.......jambo muhimu ni kuachana na marafiki omba omba kila wakati.Huyo sio rafiki ako, alafu ondoa mentality ya kwamba ukiwa unamdai mtu ni kama unammiliki yeye mzima,kwamba inabid ajieleze asipopatkana,apokee simu yako,awe mpole et tu kwasababu ya wewe unamdai, wewe ukiona hakupi ushirikiano jua anamambo yake na yeye binafsi yamekwamisha sio lazma aanze kujielezea.
Endelea na mipango mingine, siku akipata ataleta hata ikipita mwaka, la pendekeza kumtumia sms kwamba kama mambo hayajakaa sawa asijal itanipa ukipata, alafu unaleta story zingine za maisha.
Hîi tabia ya kujifanya kupunguza marafiki ,kwa kuona wanashindwa kulipa kwa wakati , na kuwaona waswahili ni tabia ya umaskini sana, wenye akili za kitajiri hawana kabisa hii.