Nimekosana na rafiki yangu baada ya kumdai pesa niliyomkopesha

Nimekosana na rafiki yangu baada ya kumdai pesa niliyomkopesha

Mm ndio dawa ya hao watu ,sikia kwanza mtumie ujumbe wa kumuomba msamaha kwa kilichotokea na kumwambia urafiki wenu ni bora kuliko hiyo pesa, baada ya hapo mwambie utanilipa siku ukipata kuwa na amani muendelee na ratiba kama kawaida, akisahau siku ukionana nae mwambie akuazima cm yake kuna mtu unataka kumpigia na unahisi amekupiga pin kwenye namba yako, akikupa mwambie ngoja nikaongeze vocha kisha tembea mazimaaaaa, wakati unafanya hayo hakikisha zile sms za kudaiyana haujazifuta, ukichukua cm yake endelea na ratiba zako akikufuata mwambie alete pesa yako umpe simu yake, hata lain usimpe . Hii njia nimeitumia na nimelipwa na watu wengi ambao walidhamilia kutonilipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni huyo rafiki yake akiwa ni mbavu mbona atamuua ?
Kikubwa angalia unayemfanyia huo ujanja awe mchovu kwako bila hivyo utamwagwa meno yote

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Wasalaaam, naamini mu wazima wa afya. Wale mnaojiandaa na sikukuu basi ikawe njema kwenu.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Wiki kama mbili nyuma kuna rafiki yangu ambae tumefahamiana kutokana na kazi tunazofanya kuwa za kufanana na muda mwingine kupeana deals mbalimbali zinapotokea alipatwa na changamoto ambayo aliniomba kama nina kiasi kadhaa cha pesa nimsaidie ili aweze kutayua changamoto yake.

Kwa jinsi alivyokuwa akinieleza, inaonyesha kabisa ilikuwa ni issue serious na alitakiwa kuisolve ndani ya muda mfupi sababu aliharibu gari ya mtu na alipeleza pesa ya ku-repair. Alitoa na ahadi baada ya wiki atanirudishia pesa yangu.

Nilimueleza sina ila alinishawishi nikaona ngoja tu nimsaidie. Nikamuuliza tena, una uhakika utanirejeshea ndani ya wiki kama unavyodai? Maana mie mwenyewe nina mambo mengi ya kukamilisha yanayohitaji pesa na kuzingatia ni msimu wa sikukuu. Akala na viapo vyote unavyovifahamu. Ikabidi nimsaidie.

Baada ya week kuisha, nilijua angefanya uaminifu kunirejeshea lakini kukawa kimya. Siku ya tisa nikampigia simu, ikaita lakini haikupokelewa. Nikatuma na ujumbe wa kumkumbusha in case simu hakuisikia basi asome ajue.

Ikapita kimya siku hiyo. Siku iliyofuata nikatuma ujumbe haukujibiwa, nikapiga simu ikaita halafu ikakatwa. Nikapiga tena ikawa haipatikani, muda huo nahitaji pesa pia nifanye mambo yangu na maandalizi ya sikukuu.

Cha ajabu hakuonyesha hata uungwana wa kutuma sms kuonyesha labda alikuwa busy au muda nnaompigia labda anakuwa hayupo na simu. Nikaendelea kupambana kumpigia bila mafanikio. Nikitumia namba ngeni anapokea, ila akijua tu ni mimi anakata na kuzima kabisa simu. Nikamaindi kabisa na kumtumia sms kali ila hakujibu.

Jana katika mihangaiko ya hapa na pale tukakutana, kaanza kuleta sababu eti alikuwa anaumwa halafu hana kifurushi chochote kile ndio maana hajanitafuta. Nikamuuliza sasa mbona hata nikikupigia hupokei? Anasema huwa anakuwa kalala. Nikaona upuuzi huu. Afanye kuniambia saa ngapi nimfuate kwake nikachukue hela maana nmekwama pia, akasema jioni atanipigia. Nikaona poa.

Jioni kimya, nikapiga mara nne hajapokea. Nikafunga safari kwenda kwake, sikumkuta. Hasira zikanipanda, nikaondoka. Leo nimemfata kimya kimya nikamkuta akaanza kuleta Kiswahili chake. Nikamwambia nahitaji hela yangu, ulikuja vizuri nikakusaidia, mbona unakuwa mhuni tena? Kama hunilipi niambie tu niache kujisumbua pasipo na matumaini, nitajua cha kufanya. Kasema saa kumi uhakika kabisa leo. Ulipofika muda nikamcheki tena hayupo. Simu ikaita akazima.

Nikamwandikia sms kumwambia huenda hajanijua. Ustaarabu nmetumia, nmejifanya mpuuzi ili nipate pesa yangu kaona ananimudu. Kaja kujibu anadai fanya chochote sina hela.

Waliosema ukitaka uonekane mbaya udai chako walikuwa na maana kubwa. Urafiki umekufa huu. Nitapotezea sababu siwezi kwenda kushtaki popote sababu hakuna ushahidi, tulipeana juujuu tu.

Nimejiapiza hata aje mtu anataka kufia miguuni mwangu nimkopeshe haitokaa itokee nikamkopesha hata kama pesa ninayo ya kutosha kiasi gani. Bora afe kabisa. Ntachomshauri ni kwamba aende kwenye ofisi za mikopo huko watamsaidia ila mimi, NEVER EVER.

Wish You A Marry Christmas.
Classmate wangu aliwahi kubadili njia baada ya kuniona, nilikuwa namdai hela kwa kipindi cha miaka 3.

Ila baadae nilikomaa akanilipa, toka siku hiyo hatujawahi kuwasiliana, tumebaki kutazamana status tu.
 
Ukiwa huna mke Ndugu na jamaa wanafurahi sana sababu unakuwa mwepesi kwao. Lakini ukishaoa wanajua meneja wa benki yupo nyumbani ile hela ya kijinga haitoki tena, ndio maana ndugu hawa wapendi wake za jamaa zao. Wakijua meneja wa benki hataki masihara na hela ya mumewe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mm ndio dawa ya hao watu ,sikia kwanza mtumie ujumbe wa kumuomba msamaha kwa kilichotokea na kumwambia urafiki wenu ni bora kuliko hiyo pesa, baada ya hapo mwambie utanilipa siku ukipata kuwa na amani muendelee na ratiba kama kawaida, akisahau siku ukionana nae mwambie akuazima cm yake kuna mtu unataka kumpigia na unahisi amekupiga pin kwenye namba yako, akikupa mwambie ngoja nikaongeze vocha kisha tembea mazimaaaaa, wakati unafanya hayo hakikisha zile sms za kudaiyana haujazifuta, ukichukua cm yake endelea na ratiba zako akikufuata mwambie alete pesa yako umpe simu yake, hata lain usimpe . Hii njia nimeitumia na nimelipwa na watu wengi ambao walidhamilia kutonilipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sim iwe nzur, Sasa kama ni kitoch
 
Wasalaaam, naamini mu wazima wa afya. Wale mnaojiandaa na sikukuu basi ikawe njema kwenu.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Wiki kama mbili nyuma kuna rafiki yangu ambae tumefahamiana kutokana na kazi tunazofanya kuwa za kufanana na muda mwingine kupeana deals mbalimbali zinapotokea alipatwa na changamoto ambayo aliniomba kama nina kiasi kadhaa cha pesa nimsaidie ili aweze kutayua changamoto yake.

Kwa jinsi alivyokuwa akinieleza, inaonyesha kabisa ilikuwa ni issue serious na alitakiwa kuisolve ndani ya muda mfupi sababu aliharibu gari ya mtu na alipeleza pesa ya ku-repair. Alitoa na ahadi baada ya wiki atanirudishia pesa yangu.

Nilimueleza sina ila alinishawishi nikaona ngoja tu nimsaidie. Nikamuuliza tena, una uhakika utanirejeshea ndani ya wiki kama unavyodai? Maana mie mwenyewe nina mambo mengi ya kukamilisha yanayohitaji pesa na kuzingatia ni msimu wa sikukuu. Akala na viapo vyote unavyovifahamu. Ikabidi nimsaidie.

Baada ya week kuisha, nilijua angefanya uaminifu kunirejeshea lakini kukawa kimya. Siku ya tisa nikampigia simu, ikaita lakini haikupokelewa. Nikatuma na ujumbe wa kumkumbusha in case simu hakuisikia basi asome ajue.

Ikapita kimya siku hiyo. Siku iliyofuata nikatuma ujumbe haukujibiwa, nikapiga simu ikaita halafu ikakatwa. Nikapiga tena ikawa haipatikani, muda huo nahitaji pesa pia nifanye mambo yangu na maandalizi ya sikukuu.

Cha ajabu hakuonyesha hata uungwana wa kutuma sms kuonyesha labda alikuwa busy au muda nnaompigia labda anakuwa hayupo na simu. Nikaendelea kupambana kumpigia bila mafanikio. Nikitumia namba ngeni anapokea, ila akijua tu ni mimi anakata na kuzima kabisa simu. Nikamaindi kabisa na kumtumia sms kali ila hakujibu.

Jana katika mihangaiko ya hapa na pale tukakutana, kaanza kuleta sababu eti alikuwa anaumwa halafu hana kifurushi chochote kile ndio maana hajanitafuta. Nikamuuliza sasa mbona hata nikikupigia hupokei? Anasema huwa anakuwa kalala. Nikaona upuuzi huu. Afanye kuniambia saa ngapi nimfuate kwake nikachukue hela maana nmekwama pia, akasema jioni atanipigia. Nikaona poa.

Jioni kimya, nikapiga mara nne hajapokea. Nikafunga safari kwenda kwake, sikumkuta. Hasira zikanipanda, nikaondoka. Leo nimemfata kimya kimya nikamkuta akaanza kuleta Kiswahili chake. Nikamwambia nahitaji hela yangu, ulikuja vizuri nikakusaidia, mbona unakuwa mhuni tena? Kama hunilipi niambie tu niache kujisumbua pasipo na matumaini, nitajua cha kufanya. Kasema saa kumi uhakika kabisa leo. Ulipofika muda nikamcheki tena hayupo. Simu ikaita akazima.

Nikamwandikia sms kumwambia huenda hajanijua. Ustaarabu nmetumia, nmejifanya mpuuzi ili nipate pesa yangu kaona ananimudu. Kaja kujibu anadai fanya chochote sina hela.

Waliosema ukitaka uonekane mbaya udai chako walikuwa na maana kubwa. Urafiki umekufa huu. Nitapotezea sababu siwezi kwenda kushtaki popote sababu hakuna ushahidi, tulipeana juujuu tu.

Nimejiapiza hata aje mtu anataka kufia miguuni mwangu nimkopeshe haitokaa itokee nikamkopesha hata kama pesa ninayo ya kutosha kiasi gani. Bora afe kabisa. Ntachomshauri ni kwamba aende kwenye ofisi za mikopo huko watamsaidia ila mimi, NEVER EVER.

Wish You A Marry Christmas.
Sasa ushahidi unao unaogopa nini? Kafanye tukio kachukue godoro, chandarua, jiko na vyombo vya kupikia! Na unachoona anatumia kila siku hata kama thamani yake ni ndogo.
Halafu mwandikie msg kwamba bado unamdai 5m.
Atapaniki atajibu siyo 5 ni 1.
 
Huyo sio rafiki ako, alafu ondoa mentality ya kwamba ukiwa unamdai mtu ni kama unammiliki yeye mzima,kwamba inabid ajieleze asipopatkana,apokee simu yako,awe mpole et tu kwasababu ya wewe unamdai, wewe ukiona hakupi ushirikiano jua anamambo yake na yeye binafsi yamekwamisha sio lazma aanze kujielezea.


Endelea na mipango mingine, siku akipata ataleta hata ikipita mwaka, la pendekeza kumtumia sms kwamba kama mambo hayajakaa sawa asijal itanipa ukipata, alafu unaleta story zingine za maisha.


Hîi tabia ya kujifanya kupunguza marafiki ,kwa kuona wanashindwa kulipa kwa wakati , na kuwaona waswahili ni tabia ya umaskini sana, wenye akili za kitajiri hawana kabisa hii.
Mentality ya kimaskini ni kukopa pesa na kutolipa,
Sasa mtu una faida gani kama unapewa hata 20K tu na haulipi kwa wakati? Bas haulipi toa reason ya maana, ila hulipi na unaendelea kula bata zako + simu wala SMS hujibu,

Ni uswahili mtupu, watu wa style hii sio wa kuwa nao karibu
 
Ukiwa huna mke Ndugu na jamaa wanafurahi sana sababu unakuwa mwepesi kwao. Lakini ukishaoa wanajua meneja wa benki yupo nyumbani ile hela ya kijinga haitoki tena, ndio maana ndugu hawa wapendi wake za jamaa zao. Wakijua meneja wa benki hataki masihara na hela ya mumewe.
akiwahi hivyo anakuwa jumla mpaka kwa mwenye hela[emoji38][emoji38].
 
Mentality ya kimaskini ni kukopa pesa na kutolipa,
Sasa mtu una faida gani kama unapewa hata 20K tu na haulipi kwa wakati? Bas haulipi toa reason ya maana, ila hulipi na unaendelea kula bata zako + simu wala SMS hujibu,

Ni uswahili mtupu, watu wa style hii sio wa kuwa nao karibu
Mkuu nashukuru umemjibu. Nilikuwa nafikiria namna nzuri ya kumjibu huyu
 
Wasalaaam, naamini mu wazima wa afya. Wale mnaojiandaa na sikukuu basi ikawe njema kwenu.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Wiki kama mbili nyuma kuna rafiki yangu ambae tumefahamiana kutokana na kazi tunazofanya kuwa za kufanana na muda mwingine kupeana deals mbalimbali zinapotokea alipatwa na changamoto ambayo aliniomba kama nina kiasi kadhaa cha pesa nimsaidie ili aweze kutayua changamoto yake.

Kwa jinsi alivyokuwa akinieleza, inaonyesha kabisa ilikuwa ni issue serious na alitakiwa kuisolve ndani ya muda mfupi sababu aliharibu gari ya mtu na alipeleza pesa ya ku-repair. Alitoa na ahadi baada ya wiki atanirudishia pesa yangu.

Nilimueleza sina ila alinishawishi nikaona ngoja tu nimsaidie. Nikamuuliza tena, una uhakika utanirejeshea ndani ya wiki kama unavyodai? Maana mie mwenyewe nina mambo mengi ya kukamilisha yanayohitaji pesa na kuzingatia ni msimu wa sikukuu. Akala na viapo vyote unavyovifahamu. Ikabidi nimsaidie.

Baada ya week kuisha, nilijua angefanya uaminifu kunirejeshea lakini kukawa kimya. Siku ya tisa nikampigia simu, ikaita lakini haikupokelewa. Nikatuma na ujumbe wa kumkumbusha in case simu hakuisikia basi asome ajue.

Ikapita kimya siku hiyo. Siku iliyofuata nikatuma ujumbe haukujibiwa, nikapiga simu ikaita halafu ikakatwa. Nikapiga tena ikawa haipatikani, muda huo nahitaji pesa pia nifanye mambo yangu na maandalizi ya sikukuu.

Cha ajabu hakuonyesha hata uungwana wa kutuma sms kuonyesha labda alikuwa busy au muda nnaompigia labda anakuwa hayupo na simu. Nikaendelea kupambana kumpigia bila mafanikio. Nikitumia namba ngeni anapokea, ila akijua tu ni mimi anakata na kuzima kabisa simu. Nikamaindi kabisa na kumtumia sms kali ila hakujibu.

Jana katika mihangaiko ya hapa na pale tukakutana, kaanza kuleta sababu eti alikuwa anaumwa halafu hana kifurushi chochote kile ndio maana hajanitafuta. Nikamuuliza sasa mbona hata nikikupigia hupokei? Anasema huwa anakuwa kalala. Nikaona upuuzi huu. Afanye kuniambia saa ngapi nimfuate kwake nikachukue hela maana nmekwama pia, akasema jioni atanipigia. Nikaona poa.

Jioni kimya, nikapiga mara nne hajapokea. Nikafunga safari kwenda kwake, sikumkuta. Hasira zikanipanda, nikaondoka. Leo nimemfata kimya kimya nikamkuta akaanza kuleta Kiswahili chake. Nikamwambia nahitaji hela yangu, ulikuja vizuri nikakusaidia, mbona unakuwa mhuni tena? Kama hunilipi niambie tu niache kujisumbua pasipo na matumaini, nitajua cha kufanya. Kasema saa kumi uhakika kabisa leo. Ulipofika muda nikamcheki tena hayupo. Simu ikaita akazima.

Nikamwandikia sms kumwambia huenda hajanijua. Ustaarabu nmetumia, nmejifanya mpuuzi ili nipate pesa yangu kaona ananimudu. Kaja kujibu anadai fanya chochote sina hela.

Waliosema ukitaka uonekane mbaya udai chako walikuwa na maana kubwa. Urafiki umekufa huu. Nitapotezea sababu siwezi kwenda kushtaki popote sababu hakuna ushahidi, tulipeana juujuu tu.

Nimejiapiza hata aje mtu anataka kufia miguuni mwangu nimkopeshe haitokaa itokee nikamkopesha hata kama pesa ninayo ya kutosha kiasi gani. Bora afe kabisa. Ntachomshauri ni kwamba aende kwenye ofisi za mikopo huko watamsaidia ila mimi, NEVER EVER.

Wish You A Marry Christmas.
Unakopesha miezi hii!!! Dunia imechuchumaa..
Pole.
 
Kwakweli ukitaka mkopesha mtu Bora akuachie kitu chenye thamani laa sivyo usimpe kbsa sema hauna au akitaka laki 1 we mpe 50 tu kama zawadi nyingine akatafute kwingine
 
Kwakweli ukitaka mkopesha mtu Bora akuachie kitu chenye thamani laa sivyo usimpe kbsa sema hauna au akitaka laki 1 we mpe 50 tu kama zawadi nyingine akatafute kwingine
Wenzako siku hizi wanabaki na kadi za bank...
 
Huyo sio rafiki ako, alafu ondoa mentality ya kwamba ukiwa unamdai mtu ni kama unammiliki yeye mzima,kwamba inabid ajieleze asipopatkana,apokee simu yako,awe mpole et tu kwasababu ya wewe unamdai, wewe ukiona hakupi ushirikiano jua anamambo yake na yeye binafsi yamekwamisha sio lazma aanze kujielezea.


Endelea na mipango mingine, siku akipata ataleta hata ikipita mwaka, la pendekeza kumtumia sms kwamba kama mambo hayajakaa sawa asijal itanipa ukipata, alafu unaleta story zingine za maisha.


Hîi tabia ya kujifanya kupunguza marafiki ,kwa kuona wanashindwa kulipa kwa wakati , na kuwaona waswahili ni tabia ya umaskini sana, wenye akili za kitajiri hawana kabisa hii.
Mkuu inaonesha kuwa wewe ni mkopaji na huna tabia ya kurudisha pesa kwa wakati,acha hiyo tabia,inakera, ulliyemkopa anaweza asikwambie inakera sana .
 
Mm ndio dawa ya hao watu ,sikia kwanza mtumie ujumbe wa kumuomba msamaha kwa kilichotokea na kumwambia urafiki wenu ni bora kuliko hiyo pesa, baada ya hapo mwambie utanilipa siku ukipata kuwa na amani muendelee na ratiba kama kawaida, akisahau siku ukionana nae mwambie akuazima cm yake kuna mtu unataka kumpigia na unahisi amekupiga pin kwenye namba yako, akikupa mwambie ngoja nikaongeze vocha kisha tembea mazimaaaaa, wakati unafanya hayo hakikisha zile sms za kudaiyana haujazifuta, ukichukua cm yake endelea na ratiba zako akikufuata mwambie alete pesa yako umpe simu yake, hata lain usimpe . Hii njia nimeitumia na nimelipwa na watu wengi ambao walidhamilia kutonilipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wahuni wanaripoti kupotelewa simu,unakamatwa
 
Wasalaaam, naamini mu wazima wa afya. Wale mnaojiandaa na sikukuu basi ikawe njema kwenu.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Wiki kama mbili nyuma kuna rafiki yangu ambae tumefahamiana kutokana na kazi tunazofanya kuwa za kufanana na muda mwingine kupeana deals mbalimbali zinapotokea alipatwa na changamoto ambayo aliniomba kama nina kiasi kadhaa cha pesa nimsaidie ili aweze kutayua changamoto yake.

Kwa jinsi alivyokuwa akinieleza, inaonyesha kabisa ilikuwa ni issue serious na alitakiwa kuisolve ndani ya muda mfupi sababu aliharibu gari ya mtu na alipeleza pesa ya ku-repair. Alitoa na ahadi baada ya wiki atanirudishia pesa yangu.

Nilimueleza sina ila alinishawishi nikaona ngoja tu nimsaidie. Nikamuuliza tena, una uhakika utanirejeshea ndani ya wiki kama unavyodai? Maana mie mwenyewe nina mambo mengi ya kukamilisha yanayohitaji pesa na kuzingatia ni msimu wa sikukuu. Akala na viapo vyote unavyovifahamu. Ikabidi nimsaidie.

Baada ya week kuisha, nilijua angefanya uaminifu kunirejeshea lakini kukawa kimya. Siku ya tisa nikampigia simu, ikaita lakini haikupokelewa. Nikatuma na ujumbe wa kumkumbusha in case simu hakuisikia basi asome ajue.

Ikapita kimya siku hiyo. Siku iliyofuata nikatuma ujumbe haukujibiwa, nikapiga simu ikaita halafu ikakatwa. Nikapiga tena ikawa haipatikani, muda huo nahitaji pesa pia nifanye mambo yangu na maandalizi ya sikukuu.

Cha ajabu hakuonyesha hata uungwana wa kutuma sms kuonyesha labda alikuwa busy au muda nnaompigia labda anakuwa hayupo na simu. Nikaendelea kupambana kumpigia bila mafanikio. Nikitumia namba ngeni anapokea, ila akijua tu ni mimi anakata na kuzima kabisa simu. Nikamaindi kabisa na kumtumia sms kali ila hakujibu.

Jana katika mihangaiko ya hapa na pale tukakutana, kaanza kuleta sababu eti alikuwa anaumwa halafu hana kifurushi chochote kile ndio maana hajanitafuta. Nikamuuliza sasa mbona hata nikikupigia hupokei? Anasema huwa anakuwa kalala. Nikaona upuuzi huu. Afanye kuniambia saa ngapi nimfuate kwake nikachukue hela maana nmekwama pia, akasema jioni atanipigia. Nikaona poa.

Jioni kimya, nikapiga mara nne hajapokea. Nikafunga safari kwenda kwake, sikumkuta. Hasira zikanipanda, nikaondoka. Leo nimemfata kimya kimya nikamkuta akaanza kuleta Kiswahili chake. Nikamwambia nahitaji hela yangu, ulikuja vizuri nikakusaidia, mbona unakuwa mhuni tena? Kama hunilipi niambie tu niache kujisumbua pasipo na matumaini, nitajua cha kufanya. Kasema saa kumi uhakika kabisa leo. Ulipofika muda nikamcheki tena hayupo. Simu ikaita akazima.

Nikamwandikia sms kumwambia huenda hajanijua. Ustaarabu nmetumia, nmejifanya mpuuzi ili nipate pesa yangu kaona ananimudu. Kaja kujibu anadai fanya chochote sina hela.

Waliosema ukitaka uonekane mbaya udai chako walikuwa na maana kubwa. Urafiki umekufa huu. Nitapotezea sababu siwezi kwenda kushtaki popote sababu hakuna ushahidi, tulipeana juujuu tu.

Nimejiapiza hata aje mtu anataka kufia miguuni mwangu nimkopeshe haitokaa itokee nikamkopesha hata kama pesa ninayo ya kutosha kiasi gani. Bora afe kabisa. Ntachomshauri ni kwamba aende kwenye ofisi za mikopo huko watamsaidia ila mimi, NEVER EVER.

Wish You A Marry Christmas.
Pole sana mkuu, mimi kuna jamaa yangu mmoja nilimkopesha 70,000 mwaka sasa umeisha hataki kunipa pesa yangu lakini nimeahidi siwezi kumsamehe kamwe pesa yangu inaniuma sana.

Na nimepanga nitawaeleza familia yake yote kuanzia mke wake,baba yake na watoto wake.
 
Back
Top Bottom