Nimekua disappointed sana na Mtu ambaye nilikua namuona wa thamani sana....ni week sasa Tangu nikutane na hio disappointment

Nimekua disappointed sana na Mtu ambaye nilikua namuona wa thamani sana....ni week sasa Tangu nikutane na hio disappointment

Wakuu nimekua disappointed na Mtu ambaye tuko very close nilikua namchukulia kama ndugu yangu wa damu I was very fond of him Yan katika circle yangu ya watu wachachee nlionichagulia na yeye nilikua namconsider....dah gafla bin Vu akanifanyia kitu ambacho nikarealize kumbe Mimi ndo nlikua najipa umuhimu kwake yeye ananichukulia tofaut na nlivodhani.....aisee nimeumia sana naomba Mungu nisamehe ila Kuna muda nkikumbuka najikuta naumia na kushikwa hasira... huyo jamaa Niko nae ofisi Moja tunafanya kazi Yan miongoni mwa staff wote yule ndo nilimuona kama rafikii...Kila nkiona akitype kwenye group kazini hasira zinanijia nimeamua kubadili jina lake nimesave kivingine hii kidogo imenipa relief...... disappointment zinaumiza sana hasa Kwa yule mtu uliemuamini sana na kumuona mwema kumbe yeye Yuko vice versa ya unavofkir.....wakuu vipi Kwa upande wenu mnadeal vipi na disappointment....nimegundua disappointment kutoka Kwa watu wa karibu zinaumiza sana
Ishi ukijuwa kila mtu ni adui yako,ni muda tuu ndio haujafika.
 
Mkuu sio emotional dependant ni Ile umemuamini sana mtu ukamuona katika miongoni mwa watu na yeye yumo then unakuja kugundua kumbe jamaa yupo opposite kabisa
Pole Mkuu, sasa unatakiwa kuachana nae na kuendelea na mambo mengine. Kuanza kumfikiria na kuja kulalamika huku ina maana kuna namna ulikuwa tegemezi kwake bila hata wewe kujua.

Hapaswi kukuumiza akili wala moyo. Mchukulie hivyo alivyo endelea na maisha yako. Wala usimchunie, endelea kusalimiana naye, stori chache na ufocus kwenye ishu zako.

Again, pole sana Mkuu.
 
Halafu kwanini unachagua mtu wa kuwa nae close ?
Why usiache Tu itokee yenyewe Nani awe close na nani Asimwe close?
Unachagua ili iweje ...
Wa treat watu wote Kwa wema ...rafiki atajitambulisha na adui atajitokeza
Kwa kilichonitokea Mkuu sitaman Tena kua na Mtu close nimeamua kuweka boundaries watu nitaishi nao lakini to the certain extent
 
Huna haja ya kujutia mema yako, ukitenda jema usingoje shukrani.
Dunia ni duara, hata wewe si mkamirifu, yawezekana ktk safari yako ya maisha vilex2 ulishawahi kumdissapoint mtu ingine bila wewe kujua au kwa makusudi. Next time usiwe na expectations kwa mtu, mtendee mema ukiamini ni wajibu wako na pia ukifanya hivyo kuenzi upendo wa Mungu.
Mkuu sikuexpect chochote kutoka kwake ni kwamba nilizani ni mwenzangu kumbe sio I was wrong
 
Binadamu usizoeane nae sana na kitu kinacho waumizi wengi ni ile trust ya kila kitu
Yaani unamfanya mtu kama ndugu yako kabisa na kujiachia kila kitu kwa kumuambia mambo yako yote
Hell No jaribu kuwa na siri kwa mambo yako na usichunguze ya wenzio
Kuna mtu alikuja kazini masikini kaja tu akapata depression kwa mgogoro na mke wake, akawa anahadithia mambo yake kwa kila mtu
Mwisho nikamuita nikamuambia nakupa ukweli hii ni depression acha kumuongelea mtu tusiemjua na maisha yako yawe siri yako
Ilimchukua mda sana kupona kama miezi minne
Huu ni mfano nimechomekea ila mjitahidi sana kuweka siri mambo yenu zaidi ya general tu
Pole ila wala usihangaike sana hata kama anajua mengi kuhusu wewe hapo umejifunza na sisi kila leo tunajifunza na kujirekebisha pia
Endelea na maisha yako piga kazi
Shukrani Mkuu
 
Niko na binamu yangu umri hatujapishana. Tumekua wote, likizo hii kwao likizo ijayo kwetu, shati, viatu suruali tunavaliana mpaka tukakua kila mtu akaoa Ila ukaribu uko pale pale. Nikiwa na pesa anahesabu Ni zake.
E bwanae kumbe jamaa Ni nyoka mlà mavi. Kuna siku tulipishana kidogo tu, jamaa akatoa yake ya moyoni sikuamini.
Kwanza kaniambia sisi sio kabila moja kwa hivyo Mimi na yeye wapi na wapi. (Mama zetu ndio wanazaliwa) ilibidi nikodoe macho tu. Baadaye akanipigia Nika m blok na kufutilia mbali namba yake. Sasa anapita huku na kule kuwashawishi ndugu tupatanishwe ule ulikua Ni ulimi tu umeteleza.
Nikikumbuka hapo zamani nilinunua viwanja viwili nikampa kimoja bure na ndio alipojenga, Leo ananiambia Mimi na yeye wapi na wapi.
Mwaka wa sita huu hatuongei japo Yuko very eager turudishe uhusiano ili apate vya bure kutoka kwangu. NIMESEMA NIMEMSAMEHE LKN UHUSIANO NA NYOKA SITAKI TENA.
 
Pole Mkuu, sasa unatakiwa kuachana nae na kuendelea na mambo mengine. Kuanza kumfikiria na kuja kulalamika huku ina maana kuna namna ulikuwa tegemezi kwake bila hata wewe kujua.

Hapaswi kukuumiza akili wala moyo. Mchukulie hivyo alivyo endelea na maisha yako. Wala usimchunie, endelea kusalimiana naye, stori chache na ufocus kwenye ishu zako.

Again, pole sana Mkuu.
Ahsante Mkuu nilikaa nalo hili jambo likawa linaninyima raha nikaona Nije nitoe sumuu
 
Mkuu ata mimi apa mida ya saa 3 hivi nimezinguana na bro mmoja hivi tunatoka mkoa mmoja mbeya yaani mimi nilivokuwa namchulia kama real bro kumbe mimi nilikuwa najidanganya mwenyewe aiseh kumbe hakuna kitu ndani yake ila daah nimerealise kumbe umzaniae ndie kumbe sie
Tatzo lenu vijana hamuudhurii vikao[emoji4]
 
Niko na binamu yangu umri hatujapishana. Tumekua wote, likizo hii kwao likizo ijayo kwetu, shati, viatu suruali tunavaliana mpaka tukakua kila mtu akaoa Ila ukaribu uko pale pale. Nikiwa na pesa anahesabu Ni zake.
E bwanae kumbe jamaa Ni nyoka mlà mavi. Kuna siku tulipishana kidogo tu, jamaa akatoa yake ya moyoni sikuamini.
Kwanza kaniambia sisi sio kabila moja kwa hivyo Mimi na yeye wapi na wapi. (Mama zetu ndio wanazaliwa) ilibidi nikodoe macho tu. Baadaye akanipigia Nika m blok na kufutilia mbali namba yake. Sasa anapita huku na kule kuwashawishi ndugu tupatanishwe ule ulikua Ni ulimi tu umeteleza.
Nikikumbuka hapo zamani nilinunua viwanja viwili nikampa kimoja bure na ndio alipojenga, Leo ananiambia Mimi na yeye wapi na wapi.
Mwaka wa sita huu hatuongei japo Yuko very eager turudishe uhusiano ili apate vya bure kutoka kwangu. NIMESEMA NIMEMSAMEHE LKN UHUSIANO NA NYOKA SITAKI TENA.
Pole Mkuu
 
Wakuu nimekua disappointed na Mtu ambaye tuko very close nilikua namchukulia kama ndugu yangu wa damu I was very fond of him Yan katika circle yangu ya watu wachachee nlionichagulia na yeye nilikua namconsider....dah gafla bin Vu akanifanyia kitu ambacho nikarealize kumbe Mimi ndo nlikua najipa umuhimu kwake yeye ananichukulia tofaut na nlivodhani.....aisee nimeumia sana naomba Mungu nisamehe ila Kuna muda nkikumbuka najikuta naumia na kushikwa hasira... huyo jamaa Niko nae ofisi Moja tunafanya kazi Yan miongoni mwa staff wote yule ndo nilimuona kama rafikii...Kila nkiona akitype kwenye group kazini hasira zinanijia nimeamua kubadili jina lake nimesave kivingine hii kidogo imenipa relief...... disappointment zinaumiza sana hasa Kwa yule mtu uliemuamini sana na kumuona mwema kumbe yeye Yuko vice versa ya unavofkir.....wakuu vipi Kwa upande wenu mnadeal vipi na disappointment....nimegundua disappointment kutoka Kwa watu wa karibu zinaumiza sana
Mkuu Pole sana.Hiyo ni Kawaida ktk Maisha,so cool down.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mkuu ata mimi iliwahi kunitokea nilichanganikiwa nikapiga moyo konde nikaamua kujipenda mwenyewe mwisho wa siku aliyeniona mimi mavi leo anaona umuhimu wangu nmesikitika sana anaona aibu ila hana wa kumlilia
 
Wakuu nimekua disappointed na Mtu ambaye tuko very close nilikua namchukulia kama ndugu yangu wa damu I was very fond of him Yan katika circle yangu ya watu wachachee nlionichagulia na yeye nilikua namconsider....dah gafla bin Vu akanifanyia kitu ambacho nikarealize kumbe Mimi ndo nlikua najipa umuhimu kwake yeye ananichukulia tofaut na nlivodhani.....aisee nimeumia sana naomba Mungu nisamehe ila Kuna muda nkikumbuka najikuta naumia na kushikwa hasira... huyo jamaa Niko nae ofisi Moja tunafanya kazi Yan miongoni mwa staff wote yule ndo nilimuona kama rafikii...Kila nkiona akitype kwenye group kazini hasira zinanijia nimeamua kubadili jina lake nimesave kivingine hii kidogo imenipa relief...... disappointment zinaumiza sana hasa Kwa yule mtu uliemuamini sana na kumuona mwema kumbe yeye Yuko vice versa ya unavofkir.....wakuu vipi Kwa upande wenu mnadeal vipi na disappointment....nimegundua disappointment kutoka Kwa watu wa karibu zinaumiza sana
Mm sina rafiki permanent ktk maisha nipo kivyangu vyangu kila mtu ni rafiki lkn urafiki wetu unadumu kwa siku moja ama mbili.
 
Back
Top Bottom