Habarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50
Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa
Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.
Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa
Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.