Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukusaidie kukupa connection ya wanawake wengi zaidi? Unadhani kuna trophy ya bingwa wa uzinifu? Utakuja kukojoa dagaaa ohooooHabarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50
Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa
Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.
kawaida sanaHabarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50
Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa
Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.
Sikuzote akili inafanyia kazi kitu ambacho unawaza muda wote kwahiyo kaavizuri naakiliyakoHabarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50
Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa
Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.
Huyu dogo anatujazia server tu hapa.Miaka 27, wanawake 50 tu ndiyo unatupotezea muda hapa tukushauri nini?
Piga pipe bana acha ujinga, unless uniambie unaumwa labda
huwa nawazaga sana watu km hawa,mtu anapiga pumbu watu zaidi ya wawil bila hata kujua afya zao.Kuna namna hujipend
Afyayako sio kipaumbele kwako
Hauna critical thinking kuona nn kinafaa na kipi ni kibaya
Hauna self control ya mwili na emotions
Yani wew ndio mtu usiyejipenda kabisa
Badilika
Kunawatu hawajijali kabisa yaanihuwa nawazaga sana watu km hawa,mtu anapiga pumbu watu zaidi ya wawil bila hata kujua afya zao.
magonjwa,nuksi,uchumi,mda..hv vyote havina tafsri kwake
Condom na mafuta jamaa hakutumia ni mwendo wa mate tu
N kweli ila nakosa control natamani nipate mtu anisimamie hiliKuna namna hujipend
Afyayako sio kipaumbele kwako
Hauna critical thinking kuona nn kinafaa na kipi ni kibaya
Hauna self control ya mwili na emotions
Yani wew ndio mtu usiyejipenda kabisa
Badilika
Kwa kweli lakini vipi nitashinda hii hali siipendi hii haliKuna namna hujipend
Afyayako sio kipaumbele kwako
Hauna critical thinking kuona nn kinafaa na kipi ni kibaya
Hauna self control ya mwili na emotions
Yani wew ndio mtu usiyejipenda kabisa
Badilika
Hapo sasa kwenye kuichukia hiyo hali ndio unapokosea. Usiichukie, ipende.Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa
Jitahid kuelekeza akili yako kwenye mambo mengine kama sehemu ya faraja kwako. Kwani umeweka ngono kama sehemu ya kukufariji unapokuwa na msongo wa mawazo. Kitu kisipokuwa kichwani na duniani kwako hakipo. Mfano, vile huvuti bangi, hauwezi jua kuna wavuta bangi majirani zako. Lakini akili ukiielekeza kwa bangi tayari utapata jirani mvuta bangi kama akili yako ilivyokutuma.Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.
Kwa kweli wacha nijaribu hili nijifunze kupenda mtu hii itaniondolea hii haliHapo sasa kwenye kuichukia hiyo hali ndio unapokosea. Usiichukie, ipende.
Haujawahi kuona kitu unachokichukia au mtu unaemchukia ndio huwa unakutana nae mara kwa mara? Kwanini? Yupo akilini mwako kila wakati.
Ipende hiyo hali. Katika kuipenda jiwekee utaratibu sasa wa kutimiza mapenzi yako. Mfano unakuwa na mpenzi mmoja kama hayupo utamsubiria. Hii itakuondolea presha ya vita moyoni mwako juu ya jambo usilolipendq lisitokee, na kisha linatokea maana hisia za mwili lazima ziishinde akili. Hiyo ni mbinu mojawapo.
Jitahid kuelekeza akili yako kwenye mambo mengine kama sehemu ya faraja kwako. Kwani umeweka ngono kama sehemu ya kukufariji unapokuwa na msongo wa mawazo. Kitu kisipokuwa kichwani na duniani kwako hakipo. Mfano, vile huvuti bangi, hauwezi jua kuna wavuta bangi majirani zako. Lakini akili ukiielekeza kwa bangi tayari utapata jirani mvuta bangi kama akili yako ilivyokutuma.
Jaribu kuitawala akili na Mungu akusaidie
Kabla ya kurusha lawama kwetu subiri uone kama huyu kocha mpya atakubali tununue mechi ili tushinde na kuwachoma sindano/madawa ya kusisimua misuli ya wachezaji wetu ama atakataa hayo mambo kama Gamondi.Habarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50
Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa
Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.
Huo ni umaskin unakusumbua tafta ela hakuna tajir mzinz hivyo , ujinga tu umekujaa kichwani an idle mind is a devals workshopHabarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50
Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa
Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.