Nimekua nikisumbuliwa na hamu kufanya mapenzi mara kwa mara hadi sasa idadi ya wanawake ni wengi nisaidieni jamani

Nimekua nikisumbuliwa na hamu kufanya mapenzi mara kwa mara hadi sasa idadi ya wanawake ni wengi nisaidieni jamani

Usishindane na asili kijana , kama mwili wako upo tayari wewe zichape tu kuna mda mwili utakataa tu mwenyewe , pia kuwa makini kuna magonjwa ya zinaa na mimba zisizotarajiwa , usije kutuongezea idadi ya majambazi tu🤔🤔🤔🤔
 
Kama bado unamkumbuka vizuri idadi bas bado hujazichapa vizuri, miaka 27 idadi 50 ni wastani mzuri kama ulianza ukiwa na miaka 20 maanake Kwa mwaka ulikua unapiga totoz 7. Kikubwa linda afya na usipige mimba
 
Habarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50
Hili sio tatizo, upo sawa kabisa.

Mimi kipindi nikiwa na huu umri wako tayari nilishashenyeta mbususu over 300+ wa haraka haraka ambao picha zao nilikuwa nazihifadhi googlephotos achilia mbali ambao sikuwa na kumbukumbu ya picha zao.

Mpaka sasa nafikiri nimeshenyeta 500+ japo kasi imepungua kutokana na umri kusogea.

Ni jambo la kawaida kwa mwanaume kamili kupenda vipochi manyoya, hapa yenyewe nilipo nipo lodge na mwanamke mpya wa 3 kwa wiki hii, cha muhimu zingatia matumizi ya condom.

Tuunge mjono juhudi za Samia kwa kushenyeta mbususu za kutosha
 
Hamsini mbona ni wastani kwa kijana wa umri wako,ili ufaulu katika shindano lazima upitie kujaribu kwingi ili uchukue taji.
 
Habarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50

Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa

Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.
Kwa Msaada zaidi muone Baltazar Engonga 😂😂
 
Kwa sasa sipo sawa ila ndo nikiwa sina kitu hii hali huwa inanitesa nikiwa saf wala nakua sina ishu nazo hizi
Usipokuwa na pesa unapatwa na hamu sana tu au pia na wanawake unawapata wengi kuliko ukiwa na pesa?
 
Kwa kweli wacha nijaribu hili nijifunze kupenda mtu hii itaniondolea hii hali
Ila pia kuwa makini, usipende kama kipofu. Kuna frustration za kufa mtu ukijiachia halafu ukaja jua unapigwa usanii.

Penda kwa makini. Usije ukasema hatujakwambia. Utajikuta inarudi tena kwa wale hamsini. Chukulia rahisi mambo ya mahusiano ya kisasa dont complicate.

Nakupa siri.
Elon hana mke ila ana demu
 
Ila pia kuwa makini, usipende kama kipofu. Kuna frustration za kufa mtu ukijiachia halafu ukaja jua unapigwa usanii.

Penda kwa makini. Usije ukasema hatujakwambia. Utajikuta inarudi tena kwa wale hamsini. Chukulia rahisi mambo ya mahusiano ya kisasa dont complicate.

Nakupa siri.
Elon hana mke ila ana demu
Thanks
 
CHAI.

KAMA ZILIVYO.

CHAI NYINGINE.

HUYU NI DOGO WA FORM 2 KACHOKA KUSOLVE TRIGONOMETRICAL RATIO ANAWACHANGAMSHA KAKA ZAKE.
 
Back
Top Bottom