Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👊👊👊Kuna namna hujipend
Afyayako sio kipaumbele kwako
Hauna critical thinking kuona nn kinafaa na kipi ni kibaya
Hauna self control ya mwili na emotions
Yani wew ndio mtu usiyejipenda kabisa
Badilika
Hili sio tatizo, upo sawa kabisa.Habarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50
Kwa Msaada zaidi muone Baltazar Engonga 😂😂Habarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50
Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa
Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.
Usipokuwa na pesa unapatwa na hamu sana tu au pia na wanawake unawapata wengi kuliko ukiwa na pesa?Kwa sasa sipo sawa ila ndo nikiwa sina kitu hii hali huwa inanitesa nikiwa saf wala nakua sina ishu nazo hizi
Ndio hii ndo hali yanguUsipokuwa na pesa unapatwa na hamu sana tu au pia na wanawake unawapata wengi kuliko ukiwa na pesa?
Ila pia kuwa makini, usipende kama kipofu. Kuna frustration za kufa mtu ukijiachia halafu ukaja jua unapigwa usanii.Kwa kweli wacha nijaribu hili nijifunze kupenda mtu hii itaniondolea hii hali
Amenibowa sana huyuHuyu dogo anatujazia server tu hapa.
Sasa hao 50 ndio anakuja kutuomba ushauri??
ThanksIla pia kuwa makini, usipende kama kipofu. Kuna frustration za kufa mtu ukijiachia halafu ukaja jua unapigwa usanii.
Penda kwa makini. Usije ukasema hatujakwambia. Utajikuta inarudi tena kwa wale hamsini. Chukulia rahisi mambo ya mahusiano ya kisasa dont complicate.
Nakupa siri.
Elon hana mke ila ana demu