Nimekua nikisumbuliwa na hamu kufanya mapenzi mara kwa mara hadi sasa idadi ya wanawake ni wengi nisaidieni jamani

Paul02

Member
Joined
Oct 25, 2024
Posts
30
Reaction score
66
Habarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50

Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa kweli niliona nimevuka hatua kubwa

Ila baada ya matatizo ya kiuchumi kunipata nimekuta niko na hali ile ile najitahidi kusali sana Mungu aniepushe adhama nafikria mwakani niweze kuoa tu kwa sababu hali hii inatisha.
 
dawa yake ni hii bro,tafuta pilipili ya unga uingize kwenye tundu la haja kubwa mara tatu kwa siku siku 7 hutafanya tena
 
Muone Baltazar Engonga akupe uzoefu kidogo
 
Tayari pepo la ngono limeshakuvaa kama batazar lakini bado halijakukaa sawasawa.. Proportional ya wanne kwa mwezi bado sio mbaya
Muombe Mungu sana maana hilo pepo halina aibu wala simile wala halina adabu.. Litakufanya utembee mpaka na wasiostahili

Litakuyumbisha sana kiuchumi lakini mbaya zaidi litakuketea nagonjwa ya kiroho na ya kimwili pia
 
umenena
 
Miaka 27, wanawake 50 tu ndiyo unatupotezea muda hapa tukushauri nini?

Piga pipe bana acha ujinga, unless uniambie unaumwa labda
 
Uoe ili ukampe shida mtoto wa watu. Aliyekwambia ukioa utaacha hiyo tabia ni nani?
 

ZAMANI KUMTONGOZA MWANAMKE MPAKA AKUPE K YAKE ILICHUKUA MUDA SANA ATAKUZUNGUSHA WEEEEEE UTAMKOSAKOSA MARA NYINGI SANA LAKINI WAPI
SASAHIVI KUMEIBUKA WIMBI LA VIJA WA HOVYO WAO NI KUPIGA MIPIRA ISIYO NA PUMZI YA KUTOSHA AKIJICHEKESHA HATA BIBI YAKO ANAPITIWA HALAFU ANAINGIZWA KWENYE LIST KAMA HII 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…