Nimekubali yaishe, kumtongoza tu kaomba laki

Mm Kuna huyo nlishawahi kumkula hapo majuzi last year, off course Ni mzuri, tatzo anaomba omba Sana hela, last time akanikopa, nikampa makusudi ili ashindwe kunilipa mazoea yaishe,,,asa yeye akatengeneza mazingira ya kumkula Tena ili tumalizane, sikutaka kabisa,,,,

Tukawa tumepotezana flani hivi, juzi ananipigia ooh, nimekwama Kodi niongezee 180k nilipe , njoo niletee nyumbn, alivo mjinga alitaka nimpelekee anipe mzigo tumalizane,,, ! nilimjibu shortly "kumbuka nakudai" hajanifuta Tena ! Wajinga Sana Hawa!
 
Aisee [emoji3][emoji3] hawa single mother wamepawa mazima,liko moja huwa napiga juzi kati nimempigia kama vp tukashtue akaniambia fresh mida fulani tuwasiliane nikamjibu poa,mida mida namcheki akaniambia nikija unanipa 30 yangu[emoji30],nilichomjibu kama vp usije mm sina hio hela,huwa nikikutana nae haondoki mikono mitupu
 
Wanakera sana mkuu kama kanikata stimu kabisa
 
Wasi wasi ndiyo akili yenyewe
 
Daah..huyo ulimzoesha vibaya mkuu yani mlikuwa mnauziana kimtindo
 
Dhambi gharama. Unagharamika dunian na motoni pia Ndio uzuri wake. Tafuta pesa huna pesa maana unania na pesa ndo kikwazo kifupi ushakula mzigo. Ukitaman tu ushazini hakuna NUTRO
Kwa hiyo dhambi ya kutamani sidhani kama kuna mtu anaikosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…