Nimekubali yaishe, kumtongoza tu kaomba laki

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ laki tu unamrecord video, ingekua Mil hivi si ungetoa albam au ungechapisha CDs usambaze kama msaniiπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa ulitaka ule bure?? Akili za kijinga kabisa hizi,yaani umuachishe shughuli zake aje kukidhi haja zako halafu still unamuuliza anauza?? Akili za kitoto hizi
 
Iko hivi mkuu, uchumi ukikaa vibaya kuna vitu lazima tupunguze au kuacha kabisa kufanya, kuna matumizi ni lazima tuachane nayo ili kuendana na hali zetu.

Huyu single mama we achana nae tu, mizinga ya 100k itakupa maradhi na utakufa masikini.
🀣🀣
 
Sasa ulitaka ule bure?? Akili za kijinga kabisa hizi,yaani umuachishe shughuli zake aje kukidhi haja zako halafu still unamuuliza anauza?? Akili za kitoto hizi
Aje nikiwa na hela nitampaa.. kwani yeye mara ngapi nampa hela bila kumkaza??? hawezi niuzia wakati analetaga shida zake nampa hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…