Nimekula Mwanamke asiyehusika. Ni mtamu sana

Ila iringa kuna ukimwi kule .......kuwa makini Sana maumbo umbo yapo mengi .....SASA tatizo ukimwi tu
 
Bidhaa ni ile ile aliyebadilika ni muuza genge...
 
Daaah hii nchi ngumu Sana , 😀
 
Ukimwi utachukua muda mrefu sana kutoka Afrika na hii ni kutokana na Tabia zetu za kijinga jinga. Sijasemea mambo kama ya Homa ya Ini na HPV...ukipata Elimu ya magonjwa hutakaa ufanye betting na Afya yako daima..
Sawasawa..
 
Kho Kho Kho Yaw Yow Jeeesh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha eebana mnamshambulia mtoa nada kisa kampata asiye changu kimasihara....wivu mweee ..iyo kho kho khooo dalili ya wivu au? hahahaha nacheka kimasihara
 
Haloooooooo..... Hongeraaa sanaa... Congrats mkuuu
 
Iringa nitarudi tena, miaka kadhaa nyuma nilipokelewa na mrembo mmoja safi sana.. ajabu alitaka 15K tu kwa huduma safi kabisa.

Kamwene!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…