92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Sasa umekumbuka nn au walikubaka hapo udomLabda Kwa mtutu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa umekumbuka nn au walikubaka hapo udomLabda Kwa mtutu
Wape hi hapo CBSL.
Huwa nakumbukaga sehumu zote ambazo nimewahi kuishiSasa umekumbuka nn au walikubaka hapo udom
Kabisa, maji ni changamoto na pia Kuna watu wengi sana pale chuoni. Vyanzo vipya vya maji lazma vipatikaneUDOM upuuzi mtupu, chuo kinanuka mikojo kisa maji..
Maji mahi mahi, bonge la uwekezaji kasoro maji...bila uwekezaji wa maana wa kutafuta chanzo madhubuti cha maji UDOM ni ushenzi mtupu
Wape hi hapo CBSL.
Picha ya kwanza umetoka Alpha
Unaenda block 1.
Picha ya 2
Kumbukumbu zangu zinaniambia hayo ni block 13&14
Nyuma ulikotoka ni block 16.
Kama sivyo ,basi ni kule juu
Block 1&2
Nyuma block 3.
Tupieni na picha nyingine colleges nyingine tupakumbuke hata kwa blocks,
Tiba siwaoni,Coed ,info,social.