Wape hi hapo CBSL.
Picha ya kwanza umetoka Alpha
Unaenda block 1.
Picha ya 2
Kumbukumbu zangu zinaniambia hayo ni block 13&14
Nyuma ulikotoka ni block 16.
Kama sivyo ,basi ni kule juu
Block 1&2
Nyuma block 3.
Tupieni na picha nyingine colleges nyingine tupakumbuke hata kwa blocks,
Tiba siwaoni,Coed ,info,social.