Hamza swakala
JF-Expert Member
- Feb 14, 2022
- 479
- 619
[emoji23][emoji23][emoji23] hii ndo jamii forum bhana weUsitumie tena kvant mkuu tumia hii! Kingine hicho kilaishi usikute ni ya mafuta ya mtume/nabii kawe maana anawekaga kwenye vichupa flani hiviView attachment 2405865
Pole sana kaka, mtu hafundishwi kulia.Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Chukua hii brah[emoji2935]Acha ufala muulize usijitafutie matatizo ya moyo bure
Ila mwanamke kutembea na kondom means anajiuza yupo kazini mda wowote ule imo
Kama vya KY, unaweza ukashtuka kumbe ndio ya upako hivyo asilalamike sana amchunguze taratibu[emoji23][emoji23][emoji23] hii ndo jamii forum bhana we
Kweli jamaa atakua ameolewa unashindwa nin kumuhoji mkeo inshu kama hio
Hivi kumbe ndo huyu huyu kijana alkua ana mtamani mke wangu?! Akae kwa kutulia dawa imuingie alidhani kummezea fundo la mate mke wangu ndo kamaliza.Nimeupitia uzi wako unaotamani mke wa mtu, ukashindwa kumueleza.
Sasa kuna vijana walimtamani mkeo. Wakamueleza, naye kawatunuku. Wanambabua.
Dunia ni hii hii.
Kilainishi gani hicho?
Hii comment sijailewa wakuu, ina maana gani?Coffee
Anamaanisha hii ni chai tu si kweli..!!Hii comment sijailewa wakuu, ina maana gani?
Unapokuwa na mawazo ya kujiua ni wazi tatizo kubwa lipo ktk ssikolojia.Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2, sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha, naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Uko sahihi mkuuSi kweli, you'r gosping, Hakika sio kweli, wenye wake tukiona hivo tunafaham reaction zetu, sio hizo zako. Sio kwel nasema
Hizo nguvu za kuandika angezitolea wapiSi kweli, you'r gosping, Hakika sio kweli, wenye wake tukiona hivo tunafaham reaction zetu, sio hizo zako. Sio kwel nasema
Huenda kuna semina alihudhuria ndipo wakagawiwa km ni Mtumishi wa umma ama taasisi fulani pia huenda alizipata siku ya UKIMWI DUNIANI Desemba 1 km ana mizunguko wa kumkutanisha na shughuli za hivyo.Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2, sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha, naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Nimesoma heading nikaona nikoment kabisa kabla ya kwenda kusoma uzi!Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2, sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha, naombeni ushauri wenu.
#depression is real