Nimekuta Condom na kilainishi kwenye Pochi ya Mke wangu

Nimekuta Condom na kilainishi kwenye Pochi ya Mke wangu

Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.

Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.

Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.

#depression is real
Pole sana kaka, mtu hafundishwi kulia.
 
Nimeupitia uzi wako unaotamani mke wa mtu, ukashindwa kumueleza.

Sasa kuna vijana walimtamani mkeo. Wakamueleza, naye kawatunuku. Wanambabua.

Dunia ni hii hii.

Kilainishi gani hicho?
Hivi kumbe ndo huyu huyu kijana alkua ana mtamani mke wangu?! Akae kwa kutulia dawa imuingie alidhani kummezea fundo la mate mke wangu ndo kamaliza.
 
Ww ni zuzu kama mazuzu mengine kabonyeze rinda la mkeo utajua kama katumika ama laa alaf fanya maamuzi
 
Binafsi nakushauri mtoa mada kama ifuatavyo;
1. Kama huna uwezo wa kumuacha usimuulize.
2. Muulize tu pale unapojiona kuwa umemchoka na unatafuta sababu ya kuacha.
3. Kama huwezi kumuuliza, tafuta namna ya kuishi nalo. Ila kuna siku atafanya kosa dogo utauwa mtu
 
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.

Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2, sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.

Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha, naombeni ushauri wenu.

#depression is real
Unapokuwa na mawazo ya kujiua ni wazi tatizo kubwa lipo ktk ssikolojia.

Kaa na mkeo muulize ingawa umepoteza ushahidi kwa kutomhoji instant ulipokuta hizo zana
 
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.

Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2, sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.

Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha, naombeni ushauri wenu.

#depression is real
Huenda kuna semina alihudhuria ndipo wakagawiwa km ni Mtumishi wa umma ama taasisi fulani pia huenda alizipata siku ya UKIMWI DUNIANI Desemba 1 km ana mizunguko wa kumkutanisha na shughuli za hivyo.
Kuhusu kilainishi sijui ni cha aina gani labda kina matumizi mbalimbali.
 
Aisee hili nalo la kuja kuomba ushauri hapa. Acha mambo ya kizungu.
 
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.

Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2, sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.

Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha, naombeni ushauri wenu.

#depression is real
Nimesoma heading nikaona nikoment kabisa kabla ya kwenda kusoma uzi!
Kwa hivyo vitu ulivyovikuta kwa mkeo ni dhahiri kabisa kwamba mkeo ni "double line" (yaani anapigiwa mitandao yote)
Ngoja nisome sasa uzi wako ntarudi
 
Sio kweli.. ingekua ni kweli usingeweza kuandika hata hili bandiko hapa..
 
Back
Top Bottom