Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

Mkuu hapo ujue unakula na mtu. Chakufanya trap mawasiliano NA movement ZAKe Ukimkamata live. Amua magumu
 
Mkeo hapo nyumbani hana biashara yoyote inayoanza na herufi 'K'?Mfano kalimati,kachori, kababu, keki nk?
 
Nashangaa umepataje ujasiri wa kuja kuandika humu JF. Ingekuwa Mimi ungesikia Kamanda Sirro ananitafuta na dau la milioni 10 angetangaza.
Usifuate ushauri kama huu
Ukiona Makinikia ujue dhahabu ilisha chimbwa cha msingi unda tume ya kutoa mapendekezo na kutekeleza adhabu ipi itastahili kwa wahusika
 
itakuwa ni umoja wa makanikia huwa tunaita kanikia nae kafupisha kaita k
 
Hiyo ya vita ya papuchi haikuwahi kumuacha mtu salama ...
 
Ben pol - phone

Mimi siwezi pekua simu ya mtu make kwa nilivyo mhmmhmhmhmhmhmhmh

Smart911 wangu nakupenda sana
 
Km mmeshindwa kuzuia K isiibiwe sasa mtaweza kuzuia madini yasiibiwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…