Unakaa naye 24hrs? Haiihitajiki siku nzima.kuwa cheatedMimi simu yake nakaa nayo 24 hrs, na Kila Simu inayopigwa lazima nijue ni nani, kwenye phone book yake lazima niwajue usipofanya hivyo utaishi na Malaya ndani, na atakudhalilisha maana akianza kugongwa nje wewe anakuvua nguo.
Daah..Piga chini...usaliti ukianza na dharau zinafuata
Mimi pia nilikuta charting kwenye simu ya mkewangu nilichofanya niliongea na jamaa akaniambia mkewangu alimwambia hajaolewa hivyo alisikitika sana na kuniomba msamaha na kilichonipa moyo ni kuwa ndo alikuwa anaanza kutongoza nimemuonya wife na nachunguza mienendo yakeUnakaa naye 24hrs? Haiihitajiki siku nzima.kuwa cheated
Mkeo ni next levelMimi pia nilikuta charting kwenye simu ya mkewangu nilichofanya niliongea na jamaa akaniambia mkewangu alimwambia hajaolewa hivyo alisikitika sana na kuniomba msamaha na kilichonipa moyo ni kuwa ndo alikuwa anaanza kutongoza nimemuonya wife na nachunguza mienendo yake
Wanataniana tu hao. Wewe unavyofikiri mke wako anawwza akachepuka?Wakuu habari.
Imeniuma saana, na tayari wanalove desire, mbaya zaidi tunamtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama. Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyeje?
Mbarikiwe!
😃 😃 😃 😃 tatizo moja kila mtu ana namna yake ya kutatua vizuri kaomba ushauri. wengine wanauaa na kujiua wengine wanafukuza mke..wengine wanakuwa malaya na wao ila huyu mwanae ni mgonjwa ni vyema kaomba ushauri apime.Ukichunguza akili ya mleta mada utajifunza ni haki yake kuchapiwa kawaida mwanaume maswala kama haya kuna namna ya kuyamaliza kiume sasa unatuelezea lazima mwanamke wako aliwe na naombea kwa Mungu aliwe na wanaume zaidi ya 6 na uwajue wote upate presha ufe kenge mmoja
Uzi wk ule n Shule usajiliweDaah inauma sana mtoto anaumwaa mwanamke anawaza kutombesha nje ya ndoa...!! ndoa ni upuuzi ukipata mwanamke ambae hajitambui.
Wakuu habari.
Imeniuma saana, na tayari wanalove desire, mbaya zaidi tunamtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama. Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyeje?
Mbarikiwe!
Haya ufanywa na michepuko sababu uhakika Kesho hana na sio mke ndaniPakia mkongo huyo binadamu hakikisha umesugua mpaka udenda umemtoka ............hapo atajifunza kitu........kira akitaka kumwaga unamtajia makosa yake ..........uku unapereka moto balaaaa
Sasa utajuaje kama unaishi kama Malaya usipokagua simu yakeTulia kwanza mpaka hasira ziishe kabisa….then utapata majawabu..kikubwa afya ya mtoto…
Simu ya mwanamke usishike au mpenzi wako yoyote..ignorance is bliss…hakuna mtu perfect duniani…tamaa zipo na haziishi…..mara nyingi we marry for the wrong reasons sasa unayoyapata ndio matokeo yake…
Mi nilimfata jamaa alikua kinyozi lakini ana deal zingine.Mimi pia nilikuta charting kwenye simu ya mkewangu nilichofanya niliongea na jamaa akaniambia mkewangu alimwambia hajaolewa hivyo alisikitika sana na kuniomba msamaha na kilichonipa moyo ni kuwa ndo alikuwa anaanza kutongoza nimemuonya wife na nachunguza mienendo yake
Sasa utajuaje kama unaishi kama Malaya usipokagua simu yake
Mtoto huenda ni wa huyo jamaa,huwa anaulizia hali yake kiafya.Wakuu habari.
Imeniuma saana, na tayari wanalove desire, mbaya zaidi tunamtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama. Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyeje?
Mbarikiwe!
Katu usimsamehee msalitiMkuu, pole sana.
Usifanye uamuzi wowote kuanzia hivi sasa juu ya hatma yenu, kaa chini utafakari kisha muweke chini mkeo mzungumze.
Muulize kwa utaratibu bila hasira ni nini kilichopelekea yeye kufanya hivyo?
Akikujibu utapima mwenyewe, akionesha kujutia na kukuhitaji msamehe na kumkanya, otherwise amua mwenyewe.
Wakuu habari.
Imeniuma saana, na tayari wanalove desire, mbaya zaidi tunamtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama. Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyeje?
Mbarikiwe!
Na mimi nakazia. Siwezi kukaa nyumba moja na msaliti nikajidanganya niko sawa au nimemsamehe. Roho yangu haiwezi kuwa sawa, hata iweje. Nikimuangalia usoni namuona kabisa msaliti huyu, ambaye niko naye lakini ameshindwa heshimu ndoa yake anajihangaisha nje.Chukua maamuzi magumu kama ifuatavyo. Chukua simu yake muonyeshe hayo uliyoyaona, then mwambie - nakuruhusu uende kwa huyo, utakapojisikia kurudi nipigie simu. Akianza kufunga funga vyake msaidie kwa kumuonyesha alichosahau nk. Muonyeshe kuwa unamruhusu kwa dhati kabisa (usoni). Nipe reaction yake halafu nitakuambia cha kufanya baada ya hapo.