Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu habari.
Imeniuma saana, na tayari wanalove desire, mbaya zaidi tunamtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama. Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyeje?
Mbarikiwe!
Haiwezekani uumie peke ako😂 aisee hii mbinu nitaiapply
Kweli mkuu yani mpaka aseme umepigaje hapo 😂Haiwezekani uumie peke ako
AlooohPiga window chini
Chukua maamuzi magumu kama ifuatavyo. Chukua simu yake muonyeshe hayo uliyoyaona, then mwambie - nakuruhusu uende kwa huyo, utakapojisikia kurudi nipigie simu. Akianza kufunga funga vyake msaidie kwa kumuonyesha alichosahau nk. Muonyeshe kuwa unamruhusu kwa dhati kabisa (usoni). Nipe reaction yake halafu nitakuambia cha kufanya baada ya hapo.Wakuu habari.
Imeniuma saana, na tayari wanalove desire, mbaya zaidi tunamtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama. Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyeje?
Mbarikiwe!
unafikiri ni rahisi kupata mwingine anayejielewa?Uyo sio mke ulioa joka lakibisa pambania malengo tayo uyo ishinae kinafiki moka mtoto atakapo kua ila na wewe tafuta mwanamke mwingine anaejielewa full stop
hajui disappearing messagesLakini Malaya achungiki hata ukae na simu yake.
Anaweza chat hata kwa messenger au telegram au email au akifika home TU ana delete kila kitu
Hakuna mwizi smart ipo siku atadakwa tuhajui disappearing messages
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Andaa Mchezo wa kupigana na mito we wk eka nyundo