Nimekuta SMS hizi kwenye simu ya zamani ya Mume wangu, sijazielewa naombeni mnisaidie mlioko kwenye Ndoa

Nimekuta SMS hizi kwenye simu ya zamani ya Mume wangu, sijazielewa naombeni mnisaidie mlioko kwenye Ndoa

Habari,

Mimi na mwenzangu tumeishi miaka kama 13 kwenye ndoa yetu na tumebarikiwa na kuwa na watoto 2. Niseme ukweli hatujawahi kukorofishaba au kugombana tunapendana sana.

Sasa wiki mbili zilizopota kuna picha moja nilipigaga na mume wangu na watoto. Niliikumbuka nikamuuliza mume wangu kuhusu picha akaniambia ipo kwenye simu yake ya zamani ambayo ni mbovu kwa kiasi kikubwa.

Aliniambia nikaichukue na nilipoichukua akanipa password ili nichukue picha, kwa vile simu mbovu niliiangaika nikafanikiwa kuzichukua zile picha. Ila siunajua mume nikaamua kupekua kidogo simu nikaenda upande wa sms za kawaida sikukuta lolote baya ila nikakuta anatumiana sms na mtu mmoja anonekana ni mwanaume mwenzie kamsave jina la Doctor.

Kwa sms zile inaonekana alikuwa ni mwanaume nilishidwa kuscreenshoot coz simu ilikuwa mbovu hata kuandika pembeni nilishidwa coz mume alikuwepo palepale na mimi, na wameanzia mbali nafikili kuna zingine amefuta za juu, naamini zile alisahau kuzifuta, Ila ninakumbuka zilikuwa hivi.

Doctor: Kuwa na amani furahia ndoa yako, maana unaonekana wasiwasi ulikuwa nao mkubwa sana, naamini Sasa utakuwa na furaha na kumuamini mke wako.

Mume wangu: Asante sana hofu ilikuwa ni kubwa sana maana hii ishu nilifikisha mpaka kwa baba na baba akanishauri hivyo nilijaribu kufuata utaratibu wa kiserikali ila ulikuwa ni mgumu , na sikutaka nimshirikishe mke wangu. Kwa majibu haya nina amani sasa na furaha. Asante sana kwa ninisaidia.

Doctor: Ni changamoto za ndoa kijana hayo mambo yapo kwa wanaume wenzio wanayakuta hayo pole sana be strong now.

Mume wangu: Asante maana mimi sijawahi hata kucheat hata siku moja, sasa ningepata tofauti sijui ingekuwaje daaa. Maana nilienda mpaka kenya kupata jibu sahihi.

Doctor: Pole sana kwa vile ushajua basi kuwa Safi.

Mume wangu: Asante sana maana hata Baba nimemwambia kasema kama majibu yapo vizuri basi hakuna haja tena na kuwa na wasiwasi na mke wako.

Zipo nyingine sms zinaendea ila hizi zimenitia wasiwasi. Nimefikiria sana alifanya nini mume wangu, nimewauliza watu wengi kwenye magroup yetu ya wanawake na magroup ya ndoa. Wengi wanasema tuu achana nayo kwa vile ushaona kuwa hakuna shida yoyote na mume wako hajawakukucheat so usiwe na wasiwasi.

Ila mimi nahitaji kujua ni nini hicho mpaka kwenda Kenya?

Naombeni mnisaidie.
Hiyo fukunyuafukunyua itakugharimu
 
Mimi naona hapo mume wako atakua alikua na tatizo la mbegu atakua aliambiwa labda hawezi kuzalisha lakini Cha kushangaa anaona wewe umezaa ndiyo hapo akawa na wasiwasi imekuaje ndiyo kuamua kwenda kujipima upya na kupika DNA za watoto kujua ukweli na inaonekana kaonekana Hana shida na watoto ni wake.
Haswaaaa
 
Habari,

Mimi na mwenzangu tumeishi miaka kama 13 kwenye ndoa yetu na tumebarikiwa na kuwa na watoto 2. Niseme ukweli hatujawahi kukorofishaba au kugombana tunapendana sana.

Sasa wiki mbili zilizopota kuna picha moja nilipigaga na mume wangu na watoto. Niliikumbuka nikamuuliza mume wangu kuhusu picha akaniambia ipo kwenye simu yake ya zamani ambayo ni mbovu kwa kiasi kikubwa.

Aliniambia nikaichukue na nilipoichukua akanipa password ili nichukue picha, kwa vile simu mbovu niliiangaika nikafanikiwa kuzichukua zile picha. Ila siunajua mume nikaamua kupekua kidogo simu nikaenda upande wa sms za kawaida sikukuta lolote baya ila nikakuta anatumiana sms na mtu mmoja anonekana ni mwanaume mwenzie kamsave jina la Doctor.

Kwa sms zile inaonekana alikuwa ni mwanaume nilishidwa kuscreenshoot coz simu ilikuwa mbovu hata kuandika pembeni nilishidwa coz mume alikuwepo palepale na mimi, na wameanzia mbali nafikili kuna zingine amefuta za juu, naamini zile alisahau kuzifuta, Ila ninakumbuka zilikuwa hivi.

Doctor: Kuwa na amani furahia ndoa yako, maana unaonekana wasiwasi ulikuwa nao mkubwa sana, naamini Sasa utakuwa na furaha na kumuamini mke wako.

Mume wangu: Asante sana hofu ilikuwa ni kubwa sana maana hii ishu nilifikisha mpaka kwa baba na baba akanishauri hivyo nilijaribu kufuata utaratibu wa kiserikali ila ulikuwa ni mgumu , na sikutaka nimshirikishe mke wangu. Kwa majibu haya nina amani sasa na furaha. Asante sana kwa ninisaidia.

Doctor: Ni changamoto za ndoa kijana hayo mambo yapo kwa wanaume wenzio wanayakuta hayo pole sana be strong now.

Mume wangu: Asante maana mimi sijawahi hata kucheat hata siku moja, sasa ningepata tofauti sijui ingekuwaje daaa. Maana nilienda mpaka kenya kupata jibu sahihi.

Doctor: Pole sana kwa vile ushajua basi kuwa Safi.

Mume wangu: Asante sana maana hata Baba nimemwambia kasema kama majibu yapo vizuri basi hakuna haja tena na kuwa na wasiwasi na mke wako.

Zipo nyingine sms zinaendea ila hizi zimenitia wasiwasi. Nimefikiria sana alifanya nini mume wangu, nimewauliza watu wengi kwenye magroup yetu ya wanawake na magroup ya ndoa. Wengi wanasema tuu achana nayo kwa vile ushaona kuwa hakuna shida yoyote na mume wako hajawakukucheat so usiwe na wasiwasi.

Ila mimi nahitaji kujua ni nini hicho mpaka kwenda Kenya?

Naombeni mnisaidie.
Umeambiwa uchukue picha,wewe unasoma na meseji,huu si ni ukorofi kweli?!!.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Iyo ni DNA kawaida tulia skuiz tunawapima watoto bila kuwashirikisha hili tulilijadili kwenye kikao chetu cha wanaume kilichopita na tukakubalia hivyo usjali kwakua ushajua we kausha piga kimya hata mimi nishampima mwanangu teali na majibu nimeyapata kimya kimya na babymama hajui nahata akija kujua minishamaliza kazi yangu bas
Tajiri kweli nimekumbuka tena hii ilikuwa ajenda namba 1 .ila sasa tupe connection ya kupima bila mambo ya kipuuz ya serikali mara sijui mwanasheria sijui.nasikia kuna sehemu arusha ila hebu tupe nondo
 
Habari,

Mimi na mwenzangu tumeishi miaka kama 13 kwenye ndoa yetu na tumebarikiwa na kuwa na watoto 2. Niseme ukweli hatujawahi kukorofishaba au kugombana tunapendana sana.

Sasa wiki mbili zilizopota kuna picha moja nilipigaga na mume wangu na watoto. Niliikumbuka nikamuuliza mume wangu kuhusu picha akaniambia ipo kwenye simu yake ya zamani ambayo ni mbovu kwa kiasi kikubwa.

Aliniambia nikaichukue na nilipoichukua akanipa password ili nichukue picha, kwa vile simu mbovu niliiangaika nikafanikiwa kuzichukua zile picha. Ila siunajua mume nikaamua kupekua kidogo simu nikaenda upande wa sms za kawaida sikukuta lolote baya ila nikakuta anatumiana sms na mtu mmoja anonekana ni mwanaume mwenzie kamsave jina la Doctor.

Kwa sms zile inaonekana alikuwa ni mwanaume nilishidwa kuscreenshoot coz simu ilikuwa mbovu hata kuandika pembeni nilishidwa coz mume alikuwepo palepale na mimi, na wameanzia mbali nafikili kuna zingine amefuta za juu, naamini zile alisahau kuzifuta, Ila ninakumbuka zilikuwa hivi.

Doctor: Kuwa na amani furahia ndoa yako, maana unaonekana wasiwasi ulikuwa nao mkubwa sana, naamini Sasa utakuwa na furaha na kumuamini mke wako.

Mume wangu: Asante sana hofu ilikuwa ni kubwa sana maana hii ishu nilifikisha mpaka kwa baba na baba akanishauri hivyo nilijaribu kufuata utaratibu wa kiserikali ila ulikuwa ni mgumu , na sikutaka nimshirikishe mke wangu. Kwa majibu haya nina amani sasa na furaha. Asante sana kwa ninisaidia.

Doctor: Ni changamoto za ndoa kijana hayo mambo yapo kwa wanaume wenzio wanayakuta hayo pole sana be strong now.

Mume wangu: Asante maana mimi sijawahi hata kucheat hata siku moja, sasa ningepata tofauti sijui ingekuwaje daaa. Maana nilienda mpaka kenya kupata jibu sahihi.

Doctor: Pole sana kwa vile ushajua basi kuwa Safi.

Mume wangu: Asante sana maana hata Baba nimemwambia kasema kama majibu yapo vizuri basi hakuna haja tena na kuwa na wasiwasi na mke wako.

Zipo nyingine sms zinaendea ila hizi zimenitia wasiwasi. Nimefikiria sana alifanya nini mume wangu, nimewauliza watu wengi kwenye magroup yetu ya wanawake na magroup ya ndoa. Wengi wanasema tuu achana nayo kwa vile ushaona kuwa hakuna shida yoyote na mume wako hajawakukucheat so usiwe na wasiwasi.

Ila mimi nahitaji kujua ni nini hicho mpaka kwenda Kenya?

Naombeni mnisaidie.
Kwa mtazamo wangu,kati ya hao watoto mlio nao,kuna mmja au wote mume wako,alikuja kugundua hawafanani na yeye wala aidha wewe,hivyo wasiwasi wako ukampelekea kuwashirikisha wazazi wake,na hakupata majibu sahihi,badae akaamua kufanya vipimo vya vinasaba kwa watoto lakin kwa bahati nzuri alikuta watoto wote ni wake.

Nampongeza sana,Mume wako,hakutaka kulianzisha bila ushahid,na sion haja ya wew kuliwazia zaidi,kwan utaondoa aman iliyopo.

Na kwa sasa anakuamin zaid ya mwanzo,lakin kama unapenda ndoa yako,usipende sana kuchunguza simu ya mume wako.
 
Back
Top Bottom