Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Umechemsha pakubwa...!!!
 
Kwani hutuoni sisi mpaka uchome hzo nguo za ur guy!! Ur strong nyenyeyeeeeeeee
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ pole… ukute sie ndo michepuko yenyewe..
 
Kuna binadamu yangu waligombana na mke wake , yule mwanamke akachoma nyumba
Maeneo ya Boko.
 

bora kumfukuza, ukimpiga domestic violence inakuhusuπŸ˜‚

fear women
Hivi bongo kuna domestic violence issues ? Wazungu kwenye DV uki arrestiwa unadhani waisraeli wamepata kiongozi wa Hammas
 
Wee udugu Ngosha who which where weeeh sheeendwaaaaa! Hekaheka za jf naziwezea wapi staki mi! πŸ™ŒπŸ™Œ
Utaziweza tyuu!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona za mwanzo uliziweza? Vipi sasa bro ushaanza kumbebisha 😜
 
Utaziweza tyuu!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona za mwanzo uliziweza? Vipi sasa bro ushaanza kumbebisha 😜
Nimeridhika napambana naharee yangu humu hata rafiki tu staki kabisa mi🀠!
 
Nimeridhika napambana naharee yangu humu staki mi🀠!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ usimfanyie hivo Ngosha umemjaza jana hapa had umemvuruga ss hivi unamkataa!!!
Umekuwa bff wangu anamjaza mzee wa loose balls akijaa anamruka km sio yeye πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ usimfanyie hivo Ngosha umemjaza jana hapa had umemvuruga ss hivi unamkataa!!!
Umekuwa bff wangu anamjaza mzee wa loose balls akijaa anamruka km sio yeye πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣!
Sema wasukuma wapo vizureee nasikia wanapenda balaa!
Mie humuπŸ™Œ!
Hongereni sana mliobarikiwa humu🀠!
 
🀣!
Sema wasukuma wapo vizureee nasikia wanapenda balaa!
Mie humuπŸ™Œ!
Hongereni sana mliobarikiwa humu🀠!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Si wanasema wana vifurushi vya mwezi eti?? Wakifatiwa na ndugu zao Maasai.
Eti Nyakanga wangu mama k kuna ukweli hapo??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Si wanasema wana vifurushi vya mwezi eti?? Wakifatiwa na ndugu zao Maasai.
Eti Nyakanga wangu mama k kuna ukweli hapo??
Vifurushi vya mwezi🀣🀣🀣!

Wee sema kweli udugu πŸ€”πŸ€­!

Nilikua sijuiio heko kwao asee!
 
Vifurushi vya mwezi🀣🀣🀣!

Wee sema kweli udugu πŸ€”πŸ€­!

Nilikua sijuiio heko kwao asee!
Ndio wanavyosema wakagua vikojoleo vya watu wa makabila mbalimbali 🀣🀣🀣
 
Ndio wanavyosema wakagua vikojoleo vya watu wa makabila mbalimbali 🀣🀣🀣
Nilisikia pia baadhi hawayakatagi yale mangozi juu ya head!πŸšΆπŸ»β€β™€οΈ
 
Nilisikia pia baadhi hawayakatagi yale mangozi juu ya head!πŸšΆπŸ»β€β™€οΈ
🀣🀣🀣 hatareee!! Sasa wanakuwa na ladha gani?? Ngoja wizo aje atuambie yeye ni mtaalamu BICHWA KOMWE - wizo emu niambie najua wewe kabali yao 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…