Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Polesana kikawaida inaumiza ila usiruhusu hasira zikutawale wanaume hawajawahi kutulia ilo ulijue kabisa utafanya vurugu mara ngapi kipenz
We jamaa snitch sana unatuuza upate ujiko
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi? I don’t know what to do or how to act.
We lofa saana, ungeweka kisu kwenye mto akija baadae unampokea vizur then wakat wakulala unajifanya umemmis mno then kwenye mchezo ukianza unajifanya kukumbatia mto unachukua kisu unakata mkia wake huo.. sa umechoma nguo ndo nn
 
kama ni yuor guy huwaga hawana nomaaa... ila kama ungesema mwanaume wangu bhasi ungejua hujui
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi? I don’t know what to do or how to act.
What do you mean bu your guy?

Ni roibot ulilitengeneza wewe au mliowana kisheria au mnafanya uasherati tu ukakukolea?
 
Back
Top Bottom