Nimekuta video chafu ya ngono ya mume wangu na boss wake

Siku hizi hatuhangaiki, ukiona umehujumiwa na wewe lipiza tu
Dawa ya moto ni moto
Sasa utakuwa unalipiziwa au unajilipizia.

Mwenzio katemea na wewe unaenda kutemewa. Kati ya anaetema na anaetemewa yupi hupata konyaaa?
 
Ndo dunia ya sasa hivi dunia ya usaliti ukiingia kwenye ndoa tegemea hayo na ukisema uachane nae utaishia kuwa single mama, mwingine anakaba nafasi yako hio.
Ukiweza kaa kimya libebe kifuani mwako
 
Tunawaambia kila siku acheni kupekua simu za waume zenu hamsikii!..ukome
Hata usipopekua tu ipo siku utalazimishwa kupekua.
Mfano vocha imeisha unamuomba utumie simu yake inaingia message ya mchepuko
 
kama una uwezo wa kumuacha muache kama huna endelea kuvumilia usitusumbue sisi!
 
Kwa sasa Mungu akusaidie utulie kwanza, usifanye maamuzi yeyote, jipe hata siku kumi za kutulia, japo sio rahisi ila Mungu akuwezeshe
 
Tulia TU. Hapo Bosi atakuwa anampa favour nyingi mumeo na nyie mtaishi vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…