Nimekuta video chafu ya ngono ya mume wangu na boss wake

Nimekuta video chafu ya ngono ya mume wangu na boss wake

Umeandika ukitegemea kabisa kabisa kupata mawazo ya maana humu jukwaani?

Japo story yenyewe Ina dalili za kutunga, aka Chai.

Ila washauri walioko humu ni wale wa 🤣🤣🤣🤣
 
Asante kwa jioni ya leo
2cb39eba722b2e08516b9f0936cd6515.jpg
 
mwambie pia akurekodi wewe harafu nahiyo tuwekee zote ,wachambuzi tusichambue
 
Dada ktk pita pita yako mitandaoni umewahi kukutana na hii sura?View attachment 3205450
Kama hapana basi mumeo ni mfuasi wa huyu jamaa ukitaka kunielewa kabla hujamuuliza hiyo kesi yako muonyeshe hii picha then muulize kama anamjua,atakachojibu rudi hapa tueleze.
Baltasar Engonga est Maladie 😁 😁 😁
 
Jaman Habari za Jioni . Kiukweli Nimechanganyikiwa Na akili yangu imefika mwisho kufikiri . Mimi ni Binti Nina umri wa miaka 27 . Nimeolewa na Ndoa yangu ina miezi Sita sasa . Na Mimi Nina Mimba Ina miezi Nne sasa.

Jana Jioni Nilimuomba Mume wangu kuna baadhi ya picha anitumie kwenye simu. Kwa Sababu alikua busy na kitu flani akasema Nisubiri. Imepita Kama Nusu saa Bado akawa busy. Nikaenda chumbani kulala nikakuta simu yake charge. Nikaamua Nijirushie zile picha mwenyewe.

Nirudishe masaa Nyuma Maana nilichokiona kitaniathiri maisha yangu yote. Nilipofungua gallery kwenye iPhone video au picha zilizopigwa recently zinakuwa mwanzoni. So kuna video sikuielewa nikaona niifungue.

Nikakuta Mume wangu na Boss wake ambaye ni mwanamke Wanafanya mapenzi wakiwa na nguo za kazi. Boss wake ni mama mtu mzima kamzidi mume wangu Umri . Na cha ajabu ni kwamba Mume wangu anamuingilia kinyume na maumbile .

Aiseee sijawahi kuumia kiasi hichi, Bado sijafanya Maamuzi yoyote Nimeishia kulia tu na Mimba yangu. Naomba mnisaidie kimawazo
Chagua kati ya haya
  1. Anzisha unaa ukakiwashe ofisini kwa mumeo kisha afukuzwe kazi muanze maisha upya
  2. Kaa na mumeo muyajenge namna ya kulikabili hili tatizo
  3. Piga kimya
 
Jaman Habari za Jioni . Kiukweli Nimechanganyikiwa Na akili yangu imefika mwisho kufikiri . Mimi ni Binti Nina umri wa miaka 27 . Nimeolewa na Ndoa yangu ina miezi Sita sasa . Na Mimi Nina Mimba Ina miezi Nne sasa.

Jana Jioni Nilimuomba Mume wangu kuna baadhi ya picha anitumie kwenye simu. Kwa Sababu alikua busy na kitu flani akasema Nisubiri. Imepita Kama Nusu saa Bado akawa busy. Nikaenda chumbani kulala nikakuta simu yake charge. Nikaamua Nijirushie zile picha mwenyewe.

Nirudishe masaa Nyuma Maana nilichokiona kitaniathiri maisha yangu yote. Nilipofungua gallery kwenye iPhone video au picha zilizopigwa recently zinakuwa mwanzoni. So kuna video sikuielewa nikaona niifungue.

Nikakuta Mume wangu na Boss wake ambaye ni mwanamke Wanafanya mapenzi wakiwa na nguo za kazi. Boss wake ni mama mtu mzima kamzidi mume wangu Umri . Na cha ajabu ni kwamba Mume wangu anamuingilia kinyume na maumbile .

Aiseee sijawahi kuumia kiasi hichi, Bado sijafanya Maamuzi yoyote Nimeishia kulia tu na Mimba yangu. Naomba mnisaidie kimawazo
Umesahau jana ulitueleza hivi:-


Hii ni chai
 
Umesahau jana ulitueleza hivi:-


Hii ni chai
Duh! Kusumbuana akili tu
 
Back
Top Bottom