Nimekuta video chafu ya ngono ya mume wangu na boss wake

Nimekuta video chafu ya ngono ya mume wangu na boss wake

Njoo nipe tako mimi ulipize kisasi usikubali kabsa me nakushauri kumbuka unyonge ni dhambi.
 
Jaman Habari za Jioni . Kiukweli Nimechanganyikiwa Na akili yangu imefika mwisho kufikiri . Mimi ni Binti Nina umri wa miaka 27 . Nimeolewa na Ndoa yangu ina miezi Sita sasa . Na Mimi Nina Mimba Ina miezi Nne sasa.

Jana Jioni Nilimuomba Mume wangu kuna baadhi ya picha anitumie kwenye simu. Kwa Sababu alikua busy na kitu flani akasema Nisubiri. Imepita Kama Nusu saa Bado akawa busy. Nikaenda chumbani kulala nikakuta simu yake charge. Nikaamua Nijirushie zile picha mwenyewe.

Nirudishe masaa Nyuma Maana nilichokiona kitaniathiri maisha yangu yote. Nilipofungua gallery kwenye iPhone video au picha zilizopigwa recently zinakuwa mwanzoni. So kuna video sikuielewa nikaona niifungue.

Nikakuta Mume wangu na Boss wake ambaye ni mwanamke Wanafanya mapenzi wakiwa na nguo za kazi. Boss wake ni mama mtu mzima kamzidi mume wangu Umri . Na cha ajabu ni kwamba Mume wangu anamuingilia kinyume na maumbile .

Aiseee sijawahi kuumia kiasi hichi, Bado sijafanya Maamuzi yoyote Nimeishia kulia tu na Mimba yangu. Naomba mnisaidie kimawazo

Mimba na miezi 6 ni michache; Kama unajimudu get the https://jamii.app/JFUserGuide out, Kama ujimudu kaa ukijipanga na maandalizi ya kuondoka!

Kamwe hutafurahia hiyo ndoa maana anachoitaji mume wako huwezi mpa na atakuwa anakitafuta huko nje always!

Ukikaa bila kujipanga kuna siku utaondoka na watoto wa 3 na maumivu Makubwa zaidi, chukua hatua!
 
Ww c wa kwanza Wala hutakuwa wa mwisho kukuta video za ngono Kwa cm ya mpnz wako madam tulia Lea mimbaa na umlee mumee...

Karibu skanka tupoteze mawazo 😋
 
Waambie wazee mnaowaheshimu au wazazi wa pande mbili kama wapo ili wawe wapatanishi wenu,na mme akubari kwamba hatorudia,kabla ya hapo hakikisha mmeo kapimwa magonjwa ya zinaa.
 
Pole dada,we fanya maamuzi unayoona yanafaa kutokana na tukio lililotokea
Huwa ninashangaa mtu anapotaka ashauriwe kwenye mahusiano yake, kana kwamba sisi tunajua values zake, priorities zake, mipango yake, maisha yake, kipato chake nk.

Hii dunia ina mambo mengi, kila mtu anatafsiri yake na sababu zake za kuwa kwenye ndoa.
 
Waambie wazee mnaowaheshimu au wazazi wa pande mbili kama wapo ili wawe wapatanishi wenu,na mme akubari kwamba hatorudia,kabla ya hapo hakikisha mmeo kapimwa magonjwa ya zinaa.
Kama hii story ni ya kweli basi ushauri wako ni wa kipumbavu sana
 
Huwa ninashangaa mtu anapotaka ashauriwe kwenye mahusiano yake, kana kwamba sisi tunajua values zake, priorities zake, mipango yake, maisha yake, kipato chake nk.

Hii dunia ina mambo mengi, kila mtu anatafsiri yake na sababu zake za kuwa kwenye ndoa.
Kweli
 
Fanya party home mualike boss, katikati achia ile video uone watakavyokimbizana humo ndani. Shenzi type .
 
Back
Top Bottom